The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Endeleeni kupakiKupaki bus sio tatizo, mbn 1st half tumepaki. tatizo ni ujinga wa kocha mchezaji ana kadi ya njano game ya pressure km hii anamuacha muda wote matokeo yake ndio hayo
Kocha mzembeTayari mmeanza! [emoji16][emoji16][emoji16] Mugalu ameupiga mwingi sana leo! Yaani alikuwa anakaba mpaka kivuli! [emoji16][emoji16]
wasije tu kung'oa viti kama wanavofanyaga huku kwao....Tayari mmeanza! πππ Mugalu ameupiga mwingi sana leo! Yaani alikuwa anakaba mpaka kivuli! ππ
Acha uongo wewe .Sioni sababu ya Simba kuendelea kujilinda Petro jana walicheza pungufu na wakatoboa Kwa Mamelod......Mikia endeleeni kuwa watulivu hatutaki msiba saizi
Yani kasubiri apewe nyekunduKupaki bus sio tatizo, mbn 1st half tumepaki. tatizo ni ujinga wa kocha mchezaji ana kadi ya njano game ya pressure km hii anamuacha muda wote matokeo yake ndio hayo
Najua unavyoteseka kimya kimya hapo..Sioni sababu ya Simba kuendelea kujilinda Petro jana walicheza pungufu na wakatoboa Kwa Mamelod......Mikia endeleeni kuwa watulivu hatutaki msiba saizi
Shida sio kupaki basi, unarudishaje uwanjani wachezaji wenye kadi za njano ilhali unacheza deffensive game na una option nzuri ya ku-switch wachezaji??Watu wanaamini Sana kwenye kupaki basi ,matokeo yake ndio haya sasa...
Alikuwa anapambania timuYa halali ila kajitakia.
Yes.Yani kasubiri apewe nyekundu
Nimerelax tu nakunywa ulanziNajua unavyoteseka kimya kimya hapo..
Halafu wana mechi nyingine tarehe 30! πππ Hawa mwaka huu tunaua!ππππ hiviiii mmenda kucheza mpira au kucheza kwaito
Kazingua wapi?Uzembe wa kocha umetu cost kwenye hii game