Offside ile
Nami Nimeona Ni Offsdie wameonyesha kwenye VAR,Sijui Kwanini wameamua Kuonyesha hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Offside ile
NibakishieNgoja nimalizie ubwabwa wangu
Tangu lini mikono ikahesabika offside?Iangalie mikono ya jamaa aliyefunga vizuri.
Kitu gani kikizidi kinahesabika offside? Nipe shule?
Mbona bado wanachezaMechi imeisha hiyo tayari.
Unazungumzia kombe gani mkuu?mnyama anachukua hili kombe!
Wachezaji wetu wanafikiri kukaba ni kucheza foul.. Discipline ya ukabaji hakuna kabisatunawachezaji ambao hawajui wafanye nini wanapokuwa na mpira, Beki zinazokabia macho na wachezaji walioridhika ukosefu wa Morrison ni pengo pale Simba kwenye game ya leo
Kwanza uwezekano wa mpira kuisha hivi hivi, haupo! Lakini pia ikitokea, basi kuna dakika nyingine 30 za mateso. Baada ya hapo ndiyo matuta.Kwani game ikiisha hivi 1-1 si matuta au?
😁😁😁 Huyu atakuwa amepitiwa na usingizini. Msamehe bure.Unazungumzia kombe gani mkuu?
Bora kirumba, huu hata kwa manungu haufikiUwanja una mashono kama wa Kirumba