Tula kwanza weweKimataifa Simba walishajiwekea psychological barrier kwamba kilele cha michuano ni robo fainali.
Tatizo la Simba ni la Kisaikolojia zaidi, timu nzima inatakiwa itambue kuna michezo mingine baada ya robo fainali.
Simba imenifufulisha Leo daahLeo umefufukia wapi we mwanamke..
Tuombe Mungu tudake hiyo penalty sasa..
Tumepambana ila tumeshindwa.orlando wamefuzu
Kipa kampiga biti,is you again 🤣🤣🤣Umemuona Kapombe full confidence.
Sasa isije ikakuzika tena tu..
Ila watu mnadhambi [emoji23][emoji23]Simba next game is against Pamba in FA CUP
Haukuwa sahihi lakini still, SIMBA ametupa heshima nchi.Kuwa mpole