mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KalpanaJamani usingizi umepaa mechi inajirudia tuu kichwani. Kupenda kitu ni ugonjwa.
Bee mkuuKalpana
Huko mlipokuwepo hamkuwa na hasira?
Yule Friend Of Namungo Fc Mzee Wa Namungo Mkijitambua, Mkijipambanua, Mkijipanua ,Mkiacha Utoto, Msipogeuka Nyuma, Msipohongwa..Mtashinda Mechi Ya Leo [emoji23]Tumsubiri MINOCYCLINE na 'thread' zake za mchongo [emoji3][emoji3].
Ulivyoandika hapo, nimekumbuka alivyokuwa anatetemeka hadi kachozi kamenitoka. Hopeful atapata msaada sahihi; atakuwa sawa tu
Nimeshaanza Kuzishusha Ndugu kaziangalie.Tumsubiri MINOCYCLINE na 'thread' zake za mchongo [emoji3][emoji3].
Kama alivyobakwa uto nyuma na mbele[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kubakwa Ni Kulekule Tu Ikishapenya Imepenya Tu Hata Useme Nn [emoji23]
Alitaka afanye unyama😂eti aipate angle 90 kumbe yenyewe ndo ikampataNilipoangalia miguu ya Inonga niliona kabisa mpira haungii golini anakosa. Naumia jamani khaaa
Amejibebesha lawama zote za kushindwa maskini. Naamini wenzie watakuwa wamemuona na wanafanya Kila wawezalo kumsaidia. It was heartbreaking💔💔Nimemuonea huruma sana natamani watu wake wake wa karibu wampe moyo, nimemuonea huruma mnoo mashabiki wa Simba hatuna deni nae awe na amani
Hasira hazikutosha naona leo. Sasa umeona uzijaze kwaajili ya YangaNaona nyie mmefika Fainali ya kombe ya shirikisho
Kwa nini wanawake mna huruma sana?,. Karibu kwenye chama letu maji maji hakuna stressAmejibebesha lawama zote za kushindwa maskini. Naamini wenzie watakuwa wamemuona na wanafanya Kila wawezalo kumsaidia. It was heartbreaking[emoji174][emoji174]
Ubakwe Mbele Ubakwe Nyuma Ubakwe Kote Utumie Nguvu Kuonesha Upinzani Kujinasua Usitumie Nguvu Kujinasua...All In All Ni Umebakwa Tu [emoji23]Kama alivyobakwa uto nyuma na mbele[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yes. Ndo uwezo ulipokwamia hapo.Tume fight sana mpaka kufikia hapa hatuna la ziada