Simba yatolewa mapinduzi cup na mlandege

Wasipokuelewa na hapa waandikie kwa herufi kubwa.
 
Kwa mujibu wa taahira wa soka ndugu Haji manara ni kuwa wenye akili pale Yanga ni wawili tu, ila Kwa mujibu wa Al-haji Aden rage ni kuwa wanaSimba wote hawana akili (mbu x3)
Kwahiyo unataka kusemaje mkuu, kwamba mashabiki wote wa hizi timu ni hamnazo kasoro mtu mbili tu.
 
Kwahiyo unataka kusemaje mkuu, kwamba mashabiki wote wa hizi timu ni hamnazo kasoro mtu mbili tu.
Ilo liko wazi mkuu. Ndio maana wengine Huwa tunaingia humu jf sports kwa I'd tofauti na I'd zetu za kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana humu jukwaa la Michezo akili huwa unaziweka pembeni
 
Na hii michuano ndio mlitaka muitumie ili kocha wenu mpya aweze kuwasoma mchezaji mmoja mmoja.

Na muonea huruma Mgunda,mechi ya leo itatumika kama kiboko cha kumchapa.
Kocha mpya akiwasoma wachezaji mmoja mmoja🤣🤣
 

Attachments

  • Kocha.jpg
    31.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…