utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Mabingwa watetezi wa kombe la mapinduzi Simba S.C wameondoshwa kwenye mashindano hayo kufuatiwa kichapo cha goli Moja Kwa bila.
Simba imebakiza mchezo mmoja wa kukamilisha ratiba utakaochezwa hapo tarehe 6 Jan dhidi ya KVZ ya zanzibar.
Simba imebakiza mchezo mmoja wa kukamilisha ratiba utakaochezwa hapo tarehe 6 Jan dhidi ya KVZ ya zanzibar.