Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
ni vile mmekutana na.wanaojua ndo maana kocha anaonekana kimeoHatuna kocha hapa
Leo utalia na kamasi juuSina huo ulimbukeni kwenye maswala ya mpira.
Yaan jamaa wanamsingizia kocha πni vile mmekutana na.wanaojua ndo maana kocha anaonekana kimeo
Hilo ni tatizo lake la siku zote, hawezi kuachia mpira mapema na mwisho kabisa ni lazima aupoteze.Saido hawezi kukaa na Mpira
Atachomoka,Hii game Simba akichomoka naacha jamiiforum
Kuotea na kuvizia ππHawa wajinga walifanya mazoezi ya kuotea.
[emoji1]
Sawa.Leo utalia na kamasi juu