Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Mshukuruni kibendera sasa ubao ulikua unasoma 2-0Yanga kwa kuoteaaa...
Halafu huyu refa vipi mbona anawapendelea sana Yang'a
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshukuruni kibendera sasa ubao ulikua unasoma 2-0Yanga kwa kuoteaaa...
Halafu huyu refa vipi mbona anawapendelea sana Yang'a
huna mchezaji hapoWachezaji tunao ila kocha hana mbinu
Mpaka saizi haifahamiki formation inayochezwa humu ni formation gani.
Kinachoonekana hapa ni individual ability tu katika kusababisha tusifungwe.
Mmeshafunga? Hali mbaya kwenu mnakamia na kutoa mabokoLeo hali mbaya lawama zote kwa robatinyo
Mbona hamfungi sasahuna mchezaji hapo
Sasa sheria zinakuwa na kazi gani iwapo utakuwa unatoa shukrani kwa anayezisimamia?Mshukuruni kibendera sasa ubao ulikua unasoma 2-0
wangekua wanatafutana saizi [emoji38][emoji38][emoji38]Mshukuruni kibendera sasa ubao ulikua unasoma 2-0
Kocha kaniharibia mechi, hapa itokee Mungu aokoe jahazi tu
Tumshukuru kwa kuziona offside? Huo ni wajibu wake.Mshukuruni kibendera sasa ubao ulikua unasoma 2-0
bahati iko upande wakoMbona hamfungi sasa