Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtagongwa tushanusa goli mara ya pili mara ya tatu kilio
Sio kosa lake alikuwa bodaboda majuzi tu anajisahau kama anawahi abiriaOffside tena Nzize
Huyu Robatinyinyo apelekwe timu ya wanawake, Mgunda arejeshwe kunoa kikosiYaani unasajili wachezaji kwa gharama kubwa afu mechi kubwa wanacheza akina Bocco🤣🤣🤣pumbaaaav
Wewe MAKOLO tulia mwangalie Saidi hukoHaya majina!!?? Wa wapi hawa!?
Mbona lugha zinaanza kubadilika?wameroga hawa
Hapo karoho kanadundadunda km kitenesiLazima mkandwe kwa kikosi hiki hiki...
Hahaha, hii comment imenichekesha sana mimi kama shabiki wa Simba Sc.Mashabiki wa simba wapimwe mapigo ya moyo
Mwangalie Saidi weweHee hawa uto vipi...
Mbona offside nyingi mmewehuka???Mwangalie Saidi wewe
Hawamjui vizuri Ally 😂Basi Yanga wameambizana kuwa kipa ni mbovu hivyo wapige kulenga goli tu.
[emoji23]
Dakika 82'Kwani Baleke ana injarii?.