zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
lugha n moja tu huna timu ya ushindaniMbona lugha zinaanza kubadilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lugha n moja tu huna timu ya ushindaniMbona lugha zinaanza kubadilika?
Kwa muda uliobaki, ni kosa kubwa sana kumtoahuyu babu saido sio wakumchezesha dakika 90 aloo
Ukifungwa utakimbia uziMbona offside nyingi mmewehuka???
Mnajikutaga?? Losers...timu yenu ya ushindani ilikua inashindana na washuka darajalugha n moja tu huna timu ya ushindani
Hongera kwa kuwa nayolugha n moja tu huna timu ya ushindani
Uzuri mie huwa sikimbiagi uzi...Ukifungwa utakimbia uzi
Hahahhahahah usiogope mkuuKatika Sub zote za Yanga, hii ndio imeniogopesha.
Cha ajabu Robertinho ameng'ang'ania dakika 90Huyu Ntibazonkiza ni bingwa wa kupoteza mipira.
Vyote kwa pamoja Bantu Lady upo wapi?Hv diara ni kipa au mchezaji mana anamoto 5G...
Kikosi cha super league una imani nacho ?Huyu Ntibazonkiza ni bingwa wa kupoteza mipira.
ipiKatika Sub zote za Yanga, hii ndio imeniogopesha.
Na ndiye anaeharibu mipira inayotafutwa na wenzake, hapaswi kuwa ndani mpaka sasa.Inashangaza Kuona hadi sasa Saidoo Bado Yupo Uwanjani
Huenda Sisi Hatujui Mpira