Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Yaani unasajili wachezaji kwa gharama kubwa afu mechi kubwa wanacheza akina Bocco🤣🤣🤣pumbaaaav
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wamshukuru kawabeba angepeta sasa hivi walikua wanasaga meno 2-0Sasa sheria zinakuwa na kazi gani iwapo utakuwa unatoa shukrani kwa anayezisimamia?
Wachezaji wazee jalini afya ya saido sio wa kucheza 90 minsWachezaji tunao ila kocha hana mbinu
Mpaka saizi haifahamiki formation inayochezwa humu ni formation gani.
Kinachoonekana hapa ni individual ability tu katika kusababisha tusifungwe.
Yani duuh Yanga wanadhani wanacheza mchangani hakuna kibendera..sio kwa off side hiziTumshukuru kwa kuziona offside? Huo ni wajibu wake.
wameroga hawaDeportivo la utopolo washindwe wenyewe kuwafunga Hawa wazee
Kwa hio lawama zote kwa robatiblnyoYaani unasajili wachezaji kwa gharama kubwa afu mechi kubwa wanacheza akina Bocco🤣🤣🤣pumbaaaav
Kazi kweli kweli Yanga BINGWA𝓛𝓮𝓸 𝓴𝓪𝔃𝓲 𝓲𝓹𝓸 𝓪𝓲𝓼𝓮𝓮
Akipoteza hii game, swala la "THANK YOU" halizuiliki.Huyu kocha hana muda mrefu
Kama wehu...Basi Yanga wameambizana kuwa kipa ni mbovu hivyo wapige kulenga goli tu.
[emoji23]
Robertinho alipoifunga Yanga ya Nabi alionekana bonge la kocha, leo anakataliwa 'Live'.Wachezaji tunao ila kocha hana mbinu
Mpaka saizi haifahamiki formation inayochezwa humu ni formation gani.
Kinachoonekana hapa ni individual ability tu katika kusababisha tusifungwe.
Mmeanza kuyakumbuka mabao ya offside? Mchezo wa makosa; usipoyatumia makosa ya mwenzio utayakumbukaNdio wamshukuru kawabeba angepeta sasa hivi walikua wanasaga meno 2-0
Haya majina!!?? Wa wapi hawa!?Lomaliza Out
Mzize Out
Konkon In
Kibabage In
Likiingia lingine kibendera hawabebi tenaSijui ni Nini lakini Simba players wapo slow sana kwenye kucounter react wanapopokonywa mpira ......wanakua kama wamezubaa hivi..
Halafu 80% Duels wameshinda Yanga vs Simba ......ukiondoa Kwa Malone pekee na kidogo saivi Ngoma.