Una hoja mkuuTusidanganyike na ubingwa wa PENALTI..
Maoni yangu yako pale pale ..
SIMBA ya ROBERTINO ni mbovu .mbovu..mbovu...
Piga chini ROBERTINO....
Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo"[emoji419][emoji375]Mpira Una ukatili mkubwa Sana, uto mlikua mnatucheka Uzi mzima.
Neno la Mungu linasema
"Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo"
Tuko pamoja 🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾👊🏾👊🏾Jinsi nilivyouona mpira nimempenda huyu goalkeeper Ally Salim.
Man of the match ni Ally Salim.
Nilikwambia lugha yako imekuwa inabadilika, nadhani sasa umeelewa namna ya kucheza kikubwawatu wanashangilia ila wanajua ukwel hawana timu ya maana.
penati imemgonga imedondoka chini kakutana nayo, unajua kuficha penati penati.weweMtu anadaka penati tatu moja anaificha anaweka kwapani.. huyu mtoto si wa kawaida
mme wakoSimba mme wenu
Manula ajipangeTunakipa aiseeeee