Ni mkwepa mishale yule sio mdaka mishaleKheee haya Mdaka mishale vip.. naona alikuwa anazikwepa tu
Dharau zimeanza [emoji16]Diarra kwenye penati anahitaji tuition kwa Ally Salim
kwa raha hizi za yanga unajiua vpjiue
Nilikwambia machale yangu hayajawahi kukosea ukajifanya mjuaji.Wewe ni Makolo jiandae kulia mtaloni na Kisungura mkononi
Hii kawaida sana hii Mtani. ππ
Umetazama mpira Kalpana?
Kwenye ligi Simba isipobadilika yanaweza yakawa kama ya msimu uliopita, Simba bado sana kufikia ubora wao...
Tunafurahi kuchukua ngao, ila mifumo ya huyu kocha ni ya kipuuzi sana.Tusidanganyike na ubingwa wa PENALTI..
Maoni yangu yako pale pale ..
SIMBA ya ROBERTINO ni mbovu .mbovu..mbovu...
Piga chini ROBERTINO....
Haaaa haaaa ngoja kwanzaNapumzika na mpira na JF kwa muda nisioujua Proved tutaonana Mungu akipenda...
ππππUshindi wa Penalt ni Ushindi wa kubahatisha
mkuu huna timu hapa dk 90 umeshikiria rohoKapike sasa, wewe huku kwenye mpira unalazimisha tu[emoji23]View attachment 2716570