mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
-
- #21
[emoji706][emoji706]Ukichaa huanzia pale umapofanya mambo yasiyo ya kawaida. Maana yake inatengeneza seli za ubongo kengeufu. Unachekea upumbav ukidhani jambo tamu na zuri kama kuokota mkate jalalani ukidhani ni dulani kwa Mangi.
Unaweza kuwahi Milembe pale Dodoma wana dozi yao ile ya ku-format au kufuta kumbukumbu zote za kipumbav au njema. Yaani hapo unasahau hadi chupi au jina lako.
Kwa akili hiyo bora waku-format uanze upya
[emoji382][emoji382]Bila link we ni ****
RageJitu linaamka tu kutoka kula ugali kwa shemeji yake linaanzisha uzi.
Simba inawanyima usingiziJitu linaamka tu kutoka kula ugali kwa shemeji yake linaanzisha uzi.
We jamaa ni kama nati zimelegeaRage
Rage[emoji3581]We jamaa ni kama nati zimelegea
Hao jf wanayataka wenyewe maana kama uzi kama huu unaachwa kwa masa zaidi ya 20 unategemea wajinga jinga kama mtoa uzi wataacha kupost?Simba ni wakuwaombea tu, maana kipigo watakachopigwa sio cha Dunia hii
FT: Wydad 17-0 simba
Surprise? ulitaka kumanishaje hapo bwashee?Simba safari hii sijajua watakuja na surprise Ipi maana Ile ya kuwasha moto uwanjani Tena ugenini ilinishangaza sana.
Na mganga wao yule huwa ana masharti magumu kweli yani, si ajabu wakapewa sharti la kuwarm up uchi this time kudadek.Simba safari hii sijajua watakuja na surprise Ipi maana Ile ya kuwasha moto uwanjani Tena ugenini ilinishangaza sana.
Kwa nini?Simba inaliabisha sana taifa. Hii ni haijawahi kutokea aisee!!