Na nyie mfanye kazi gani?Kikosi cha makolo mudi akilete mbeya kulima mpunga
Na nyie mfanye kazi gani?Kikosi cha makolo mudi akilete mbeya kulima mpunga
Makolo ni aibu kubwa Kwa taifa ......[emoji23]
Dk 90 bila shoot on target [emoji23][emoji23] View attachment 3097213
Makolo wote ni mbumbumbu (in Rage's voice)uto wenye akili ni wawili tu
Hawataki kujifunza kwa tuliofanikiwa.Watashangazwa[emoji23]
Nadhani hii hapa chini ilikupita. Mchawi teknolojia:Hii ndio record iliyowekwa Jana na vijana wa mudi .....Baada ya mpira kuisha dk 90 bila hata Simba kupiga shoot lililo lenga lango ( on target)
Jifunze kwanza kuandika...Inaseketesha sana mkuu.....hamna timu pale ......wale wachezaji wapelekeni kulima mpunga