Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Na nyie mfanye kazi gani?Kikosi cha makolo mudi akilete mbeya kulima mpunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie mfanye kazi gani?Kikosi cha makolo mudi akilete mbeya kulima mpunga
Na nyie mfanye kazi gani?Kikosi cha makolo mudi akilete mbeya kulima mpunga
Makolo ni aibu kubwa Kwa taifa ......[emoji23]
Dk 90 bila shoot on target [emoji23][emoji23] View attachment 3097213
Makolo wote ni mbumbumbu (in Rage's voice)uto wenye akili ni wawili tu
Hawataki kujifunza kwa tuliofanikiwa.Watashangazwa[emoji23]
Nadhani hii hapa chini ilikupita. Mchawi teknolojia:Hii ndio record iliyowekwa Jana na vijana wa mudi .....Baada ya mpira kuisha dk 90 bila hata Simba kupiga shoot lililo lenga lango ( on target)
Jifunze kwanza kuandika...Inaseketesha sana mkuu.....hamna timu pale ......wale wachezaji wapelekeni kulima mpunga