Simba Yaweka Rekodi ya Dunia na Dreamliner

Simba Yaweka Rekodi ya Dunia na Dreamliner

Rekodi ya dunia!? Uko serious mkuu na hili neno?😀😀
 
Wengine humu ROHO INAWAUMA KWELI KUIONA HII NDEGE leo ipo angani...Na bado nyie endeleeni kutafuta mapungufu kwa tochi
 
Wawape jeshi tu watu waache kuisemasema, kama ilivyokuwa mv bagamoyo
 
Kweli watanzania wengi wanaumwa. Kupanda ndege ni habari? Nilidhani Simba nao wamenunua ndege. Haina tofauti kuingia kijijini na Gari aina ya Starlet kijiji kizima wanaikimbiza.
hahaa jf bwana" haichoshi
 
Alichosema Aden Rage miaka nyuma kuhusu Mashabikì wa Simba ni sahihi kabisa
Juuko_2.jpg
 
Kazi mnayo. Hivyo hicho pia ni cha ajabu lol. Poleni Watani zangu.

Kwani ndio mmeizindua nyie ndege au watu walishaipanda? Wale wasemaje sasa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Hebuu [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Yanga chezeni tatu mzuka muiokoe timu yenu izi kelele zinawapotezea mda.
 
Wekundu msimbazii,,,,,
KAMA SIO SIMBA POTEZEA,,
Vyura naonaa Povu za Takasa zinawatoka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom