Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Katika mechi ya Simba vs Dodoma Jiji, timu ya Simba ilipiga jumla ya pasi 873 na kati ya hizo, pasi 730 zilifika zilikopangwa kwenda. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa Anwar Binda wa Wasafi FM wakati akichambua mechi hiyo, na kusema tangu aanze kuchambua mechi za VPL na ASFC za timu za Tanzania Bara, hakumbuki kama kuna timu imewahi kupiga idadi kubwa ya pasi kama hizo.
Hongera wazee wa Lunyasi kwa kuleta mapinduzi ya burudani katika soka hapa Bongo.
Hongera wazee wa Lunyasi kwa kuleta mapinduzi ya burudani katika soka hapa Bongo.