Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
- Thread starter
- #21
Fuatilia baada ya mechi... hakuna kiongozi au mchezaji yeyote wa Dodoma Jiji aliyelalamikia au kuzungumzia kitu hicho, ni uzushi tu. Kuna timu inajenga mazingira ya kukwepa kucheza na Simba kwa kutengeneza vitukio kama hivi. Badala ya kulalamika, makocha wa timu zilizocheza na Simba msimu huu wamesema hivi:Hiyo ilitokana na yale majimaji yaliyomwagwa vyumbani. ...