Simba yazindua Jezi mpya kuelekea African Football League

Simba yazindua Jezi mpya kuelekea African Football League

Klabu ya Simba leo hii imezindua jezi kwa ajili ya mashindano ya African Football League yanayotarajiwa kuanza 20/10/2023 na mechi ya ufunguzi itakuwa ni Simba SC vs National Al Ahly kwenye dimba la Benjamin Mkapa

Vipi, umeuonaje uzi?

View attachment 2779821
View attachment 2779822View attachment 2779823
Mbona hakuna Pisi Kali hata mmoja wa haja?

Anyway, hata hivyo Pisi Kali wenye sura za Baba huwa smart sana vichwani.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yan sijui kwa nini mimi rangi ikishakua nyekundu naona ni kama uchafu tu. Usininukuu vibaya siipendi rangi nyekundu kwa hiyo mi naona ni maonesho ya nguo za kawaida kwa wanaopenda izo rangi
 
Wame tumia pisi gani izo kutangaza jezi kama moja
 
Mbona hakuna jipya? Kwahiyo Simba ndio mmekubali kabisa kwamba mmeshindwa kwenye ubunifu wa jezi?

BTW mtoto wa mama mkwe hii haipo kwenye yale makubaliano yetu… sikununulii, Lol
 
Jezi hazina ubunifu kabisa 🤣 zipo hovyo kama kanga za mganga wa kienyeji
 
Screenshot_20231012-170420.jpg

Mpapai
 
Back
Top Bottom