Simba yazindua Jezi mpya kuelekea African Football League

Simba yazindua Jezi mpya kuelekea African Football League

Mbona hakuna jipya? Kwahiyo Simba ndio mmekubali kabisa kwamba mmeshindwa kwenye ubunifu wa jezi?

BTW mtoto wa mama mkwe hii haipo kwenye yale makubaliano yetu… sikununulii, Lol
Sasa utafananisha na jezi zenye matairi ubavuni?
 
nyie utopolo hamchezi kabisa maana CAF haiwatambui 😁. Hatuhofii gharama maana tumepewa 5.8B za vitu vidogodogo kama hivyo 😁
Kwenye hiyo bilioni 5.8 mliyopewa, wewe kama wewe! mgao wako ni shilingi ngapi? Eti tumepewa!! Hela anaenda kufaidi Mudi, na wewe mwenzangu na mimi unajitutumua!!
 
Ni aibu sana kuchezea jezi mechi mbili tu ambazo umekandwa ndani nje!

Ni vizuri mbumbumbu fc kujiandaa na maumivu! Sipati picha goli la 5G la Al Ahly dhidi ya Simba kwa Mkapa mashabiki wa kolowizard wasipong'oa viti nitashangaa!

Swali la kujiuliza hizo b5 zilizoingia kwa Kanjibai zimefanyia Nini Simba mbona hatuoni chochote kipya?!
 
Sasa ubavuni kuna shida gani? Utafananisha na nyie wenye Mo kwenye makalio? Halafu anapenda kweli kujiweka hapo na nyie mnavaa tu kama mazuzu.

Of all places ktk jezi anajiweka pa kukalia? Maajabu hayaishi!
Dah! Basi acha tu nipite bila kusema sana. Maana haya sasa ni majaribu mazito sana kwetu sisi Wanasimba kindakindaki. Navumilia.

Kwani jezi zetu zimewakosea nini ninyi watu? Zile jezi zenu za kupauka kwa fuo moja tu, mbona sisi tuliacha mwende nazo tu hivyohivyo?

Ova
 
Dah! Basi acha tu nipite bila kusema sana. Maana haya sasa ni majaribu mazito sana kwetu sisi Wanasimba kindakindaki. Navumilia.

Kwani jezi zetu zimewakosea nini ninyi watu? Zile jezi zenu za kupauka kwa fuo moja tu, mbona sisi tuliacha mwende nazo tu hivyohivyo?

Ova
Nikuambie ukweli, ningeweka kibunda kwenye post uliyoreply leo ningepiga hela ndefu sana.
Nilijua huwezi kuvumilia hii!
Nimecheka sana, umenasa kwenye mtego, Lolz
 
Kumbe ilikuwa mtego? Dah, nasikitika kuwa nimefanya kosa la kiufundi. Wanawake huwa wanatuweza sana. Hii ni asili, ni ngumu kuipeuka.

Ova
Nikuambie ukweli, ningeweka kibunda kwenye post uliyoreply leo ningepiga hela ndefu sana.
Nilijua huwezi kuvumilia hii!
Nimecheka sana, umenasa kwenye mtego, Lolz
 
Simba ni timu yangu lkn kwenye upande wa designing ya jezi naona kama Kuna tatizo. Kidogo miaka ya nyuma zilikua zinatengezwa jezi nzuri.

Sitaki mipovu!!
 
Back
Top Bottom