Simbachawene awataka viongozi wa walimu wasiokuwa na ajira NETO kufika ofinini Dodoma kwa mazungumzo

Simbachawene awataka viongozi wa walimu wasiokuwa na ajira NETO kufika ofinini Dodoma kwa mazungumzo

Kukosa Ajira na Unatumaini la kuajiriwa ni Mbaya sana.

Kuna Ndugu yangu, Kamaliza since 2015, Ajira za Juzi za ualimu aliitwa kwenye Written ila kwenye oral hakuitwa.

Nimeumia sana, Maana ni aina ya watu ambao ni pro teachers hata kwa kuwaona
 
Wakati wanafeli kuendelea na taaluma zao walizokuwa wanazipenda wakakimbilia ualimu kwa kuona ni mserereko kupata ajira kwani hawakujua kuwa miaka hii kuna wahitimu wengi kuliko taaluma zingine? Wawe wavumilivu, serikali haiwezi kuwaajiri wote kwa wakati mmoja ni si lazima uajiriwe kwa kuwa ulisomea ualimu
umejiajiri
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, amewaita ofisini kwake Dodoma kwa mazungumzo viongozi wa vijana waliojitambulisha kwenye andiko lao kuwa ni “Non Employed Teachers Organisation (NETO)” wenye umoja wao kupitia mitandao ya Kijamii.

“Nimesoma makala yao yenye kichwa cha habari "Ombi la Wahitimu wa Ualimu Vyuo mbalimbali Nchini kati ya mwaka 2015-2023 kwa Serikali, andiko lao ni zuri na linaeleweka ingawa linahitaji ufafanuzi zaidi, hivyo ninatoa wito kwa vijana hao kuja ofisini Dodoma kwa mazungumzo”

Pia soma: Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

View attachment 3246235
Mmh, ngoja tuone!Huyu mwamba namuamini,anayo hoja asikilizwe!
 
Ni wapuuzi na hawana akili kuchakata mambo kwa upeo. Mpaka wanaunda NETO waliona ni lazima waajiriwe tu kwa kuwa wamesomea ualimu? Ni wapumbavu na wana fikra mgando kuhusu kuajiriwa
Punguza chuki, wivu pamoja na ujinga...walisomea ualimu ili waje wafanye nini, wauze maembe au karanga?, Hiyo elimu waliyoipata ilikuwa ikiwaandaa kujiajiri?...Stupid!
 
Anayeharibu ni Mkenda. Sijui kwanini wizara ya Elimu ina mikosi kupata mawaziri wajuaji ambao ni vilaza.
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, amewaita ofisini kwake Dodoma kwa mazungumzo viongozi wa vijana waliojitambulisha kwenye andiko lao kuwa ni “Non Employed Teachers Organisation (NETO)” wenye umoja wao kupitia mitandao ya Kijamii.

“Nimesoma makala yao yenye kichwa cha habari "Ombi la Wahitimu wa Ualimu Vyuo mbalimbali Nchini kati ya mwaka 2015-2023 kwa Serikali, andiko lao ni zuri na linaeleweka ingawa linahitaji ufafanuzi zaidi, hivyo ninatoa wito kwa vijana hao kuja ofisini Dodoma kwa mazungumzo”

Pia soma: Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

View attachment 3246235
Simbachawene ni kiongozi ambaye huwa simwelewi.

Kifupi, vijana hao watapoteza muda wao bure na hakuna lolote la maana watakalosaidiwa na kiongozi huyo.
 
Utashangaa viongozi ndiyo wataajiriwa ili chama kipoteane maana watakosa sifa kuwa NETO.
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, amewaita ofisini kwake Dodoma kwa mazungumzo viongozi wa vijana waliojitambulisha kwenye andiko lao kuwa ni “Non Employed Teachers Organisation (NETO)” wenye umoja wao kupitia mitandao ya Kijamii.

“Nimesoma makala yao yenye kichwa cha habari "Ombi la Wahitimu wa Ualimu Vyuo mbalimbali Nchini kati ya mwaka 2015-2023 kwa Serikali, andiko lao ni zuri na linaeleweka ingawa linahitaji ufafanuzi zaidi, hivyo ninatoa wito kwa vijana hao kuja ofisini Dodoma kwa mazungumzo”

Pia soma: Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

View attachment 3246235
Ishu ya ajira, haitatuliwi kwa vikao vya kisiasa, ccm hawana majibu, hatuna shule za kuchukua hawa waalimu wote, waambiwe ukweli! Kwa, elimu ya ualimu,nchi hainauwezo wa kuwapa ajira ya kufundisha! Period, watafute ujuzi mwingine, udereva, uselemara, nk!
Hapo wa me it was, ili kutulizwa tu, mwaka wa, uchaguzi, huu
 
Wakitoka huko wote kauli mbiu yao itakua moja...
Wanaenda kupoozwa mizuka...



Cc: Mahondaw
 
Wakati wanafeli kuendelea na taaluma zao walizokuwa wanazipenda wakakimbilia ualimu kwa kuona ni mserereko kupata ajira kwani hawakujua kuwa miaka hii kuna wahitimu wengi kuliko taaluma zingine? Wawe wavumilivu, serikali haiwezi kuwaajiri wote kwa wakati mmoja ni si lazima uajiriwe kwa kuwa ulisomea ualimu
Anayesomea upadre ama uchungaji sijasikia akishauriwa kufanya kazi nyingine ama kujiajiri nje ya mimbari za madhabahu!

Pia sijasikia kijana akaenda chuo cha Polisi ama depot ya jeshi kufanya mafunzo kisha akasubirishwa ajira akiwa mtaani.

Kozi za ualimu na nyingine zenye kufanana na hizo ni sawa na mazao ya biashara kwa mkulima: pamba au tumbaku, yakivunwa lazima yauzwe na yakikosa soko lazima Serikali ilaumiwe kwa kutokutimiza wajibu wake.
 
Anayesomea upadre ama uchungaji sijasikia akishauriwa kufanya kazi nyingine ama kujiajiri nje ya mimbari za madhabahu!

Pia sijasikia kijana akaenda chuo cha Polisi ama depot ya jeshi kufanya mafunzo kisha akasubirishwa ajira akiwa mtaani.

Kozi za ualimu na nyingine zenye kufanana na hizo ni sawa na mazao ya biashara kwa mkulima: pamba au tumbaku, yakivunwa lazima yauzwe na yakikosa soko lazima Serikali ilaumiwe kwa kutokutimiza wajibu wake.
Kijana unasoma ualimu na kuisubiri serikali ikuajiri karne hii ni ukosefu mkubwa sana wa maarifa.
 
Ni wapuuzi na hawana akili kuchakata mambo kwa upeo. Mpaka wanaunda NETO waliona ni lazima waajiriwe tu kwa kuwa wamesomea ualimu? Ni wapumbavu na wana fikra mgando kuhusu kuajiriwa
We ndio mpuuzi, kwa akili yako wamesomea ualimu ili iweje. Unasomea ujuzi ili uutumie we mbwa koko.
 
Back
Top Bottom