Simbachawene awataka viongozi wa walimu wasiokuwa na ajira NETO kufika ofinini Dodoma kwa mazungumzo

Kwanza uelewe mi si mwalimu, hata hivyo pilipili usisozila zakuwashia nini, kuajiriwa ni haki yao, badala tuwasapoti tunawatukana? Mbona tuna roho za kichawi hivi?

Kumbe sasa pilipili ya walimu inakuwashia nini??
Kada zote zina haki ya kuajiriwa why walimu kila siku kelele?
Na ndio maana ni kada inayojizolea dharau za bei rahisi sana huku mitaani
Waache kujidekeza na kujiendekeza watafute shughuli wafanye
 
Kumbe sasa pilipili ya walimu inakuwashia nini??
Kada zote zina haki ya kuajiriwa why walimu kila siku kelele?
Na ndio maana ni kada inayojizolea dharau za bei rahisi sana huku mitaani
Waache kujidekeza na kujiendekeza watafute shughuli wafanye
We mwanaharamu kuna mwl amekuja kukuomba unga? Mi nawatetea maana ni kundi lilibarikiwa kwani ni chanzo cha maarifa na wanatimiza malengo ya mwenyenzi Mungu kutoa elimu maana tumeagizwa tutafute elimu na tusimwache akaenda zake. Ukubwa wa mshahara unategemea uchumi wa nchi yetu unawalaumuje km we ni utopolo?
 

Gendaeka unaongea maneno hayapo😅
Et Walimu ni kundi lililobarikiwa🤣 na nini??
Maarifa ya kutafuta shughuli za kufanya wamekosa wanasumbua umma kila siku na kelele za ajira waje wawape watoto wako maarifa??
Na hivi ni kundi la watu walioshindwa shule....waliofaulu shule katika kiwango cha mwisho
 
Kukosa Ajira na Unatumaini la kuajiriwa ni Mbaya sana.

Kuna Ndugu yangu, Kamaliza since 2015, Ajira za Juzi za ualimu aliitwa kwenye Written ila kwenye oral hakuitwa.

Nimeumia sana, Maana ni aina ya watu ambao ni pro teachers hata kwa kuwaona
Duh ni maumivu sio oral ajaitwa yan akufaulu written.ila si kajishikiza sehemu na anafundisha masomo gan?
 
Sio fair ila serikali aijali wote mnapiga pepa.
 
"..
".....andiko lao ni nzuri na linaeleweka ingawa linahitaji ufafanuzi zaidi". Sasa kama linaeleweka kuna haja ipi ya ufafanuzi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…