mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana Jf
Nawatoe wasiwasi wapenda raha , lakini kila mtu ana raha yake kutokana na mazingira inayoishia. Wapo wanaooenda kukesha kama popo na milupo pembeni, lakini wapo pia baada ya kupata tatu na nne bariidi wanapenda wakapunzike na mama chanja.
Kumekuwepo na utitiri wa baa zisizo na vibari vya kukesha linapita mziki mkubwa vikichochewa na Ma DJ usiku unasikia "Wananchi piga keleeeleee" nao wakaitikia "Bia Tamuuuu" inapendeza kujiunga nao lakini wengine hatupendi muda wa mapopo, si ijumaa wala jmamosi watu wanakesha baa za wazi, ikifika saa sita utaona cruiser siku hizi hakuna defender, watashuka kwenye gari za kitalii, utaona meneja anatoka nao mita kadhaa anazama mfukoni kuwezesha mafuta ya cruiser lisirudi bure.
Watz tunapenda raha lakini tusiumize wengine, mbona makanisa yakilokole yaliyokuwa yanakesha wameacha makelele kwa sasa. Hivi sasa wamebaki wanaosumbua asubuhi na maspika yao ni wa zile dini zisizoguswa hata zifanye mini.
Angalau wao wanaanza saa kumi unakuwa ushakata usingizi wa kwanza. Polisi jamani kuweni na huruma, hizi rushwa zinaumiza wapenda usingizi Tegeta, Boko, Bunju.
Nawatoe wasiwasi wapenda raha , lakini kila mtu ana raha yake kutokana na mazingira inayoishia. Wapo wanaooenda kukesha kama popo na milupo pembeni, lakini wapo pia baada ya kupata tatu na nne bariidi wanapenda wakapunzike na mama chanja.
Kumekuwepo na utitiri wa baa zisizo na vibari vya kukesha linapita mziki mkubwa vikichochewa na Ma DJ usiku unasikia "Wananchi piga keleeeleee" nao wakaitikia "Bia Tamuuuu" inapendeza kujiunga nao lakini wengine hatupendi muda wa mapopo, si ijumaa wala jmamosi watu wanakesha baa za wazi, ikifika saa sita utaona cruiser siku hizi hakuna defender, watashuka kwenye gari za kitalii, utaona meneja anatoka nao mita kadhaa anazama mfukoni kuwezesha mafuta ya cruiser lisirudi bure.
Watz tunapenda raha lakini tusiumize wengine, mbona makanisa yakilokole yaliyokuwa yanakesha wameacha makelele kwa sasa. Hivi sasa wamebaki wanaosumbua asubuhi na maspika yao ni wa zile dini zisizoguswa hata zifanye mini.
Angalau wao wanaanza saa kumi unakuwa ushakata usingizi wa kwanza. Polisi jamani kuweni na huruma, hizi rushwa zinaumiza wapenda usingizi Tegeta, Boko, Bunju.