pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Majambazi si wakucheka nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuosha vyombo, kupika, kuchanja kuni, kufua, kupiga pasi n.kMagereza zetu zinatoa mafunzo ya namna gani?
ulishawahi kusikia mtuhumiwa wa ujambazi akijeruhiwa anapona?Sasa nimeamini kwa nini wanauwa wakiwakamata.
Kuosha vyombo, kupika, kuchanja kuni, kufua, kupiga
Mbona mafunzo ya kuiba hujataja?Kuosha vyombo, kupika, kuchanja kuni, kufua, kupiga pasi n.k
Kuwafunga ni ngumu sana. Ndio maana wanapewa VIP treatmentKwa maana hiyo asilimia kubwa ya majambazi hawajawahi kwenda jela.
Ndio njia ya kumalizana nao.Sasa nimeamini kwa nini wanauwa wakiwakamata.
Hakuna cha petinti wala nini. Haya ni mambo ya uwiano. Chukulia watanzania waliowahi kufungwa huko jela ni asilimia sifuri nukta moja, yaani moja kwa elfu moja, lakini linapokuja suala la wanaokamatwa kwa ujambazi kibso kinageuka. Kwa kila majambazi mia wanaokamatwa, 30 walishawahi kufungwa jela, yaani hesabu imetoka moja kwa elfu moja hadi thelasini kwa mia. Hapo lazima kuna tatizo kubwa sana. Mh. Waziri hajakosea.Pertinent observation! Yaani asilimia 70% ya majambazi hawajawahi kufungwa gerezani. Haya juhudi za kuwakamata na kuwafunga ziendelee.
0.1 ni sawa na 1/1000? Labda ndiyo maana huoni kosa la waziri wako.Hakuna cha petinti wala nini. Haya ni mambo ya uwiano. Chukulia watanzania waliowahi kufungwa huko jela ni asilimia sifuri nukta moja, yaani moja kwa elfu moja, lakini linapokuja suala la wanaokamatwa kwa ujambazi kibso kinageuka. Kwa kila majambazi mia wanaokamatwa, 30 walishawahi kufungwa jela, yaani hesabu imetoka moja kwa elfu moja hadi thelasini kwa mia. Hapo lazima kuna tatizo kubwa sana. Mh. Waziri hajakosea.