darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Kufanya kazi au kujishughulisha na kazi inayokuingizia kipato ni haki ya Kila mtu lakini kupewa kazi sio haki ya kila mtu. Pongezeni kunapokuwa na jambo jema.Wewe chawa mbobevu kupata kazi ni haki ya vijana wote waliosoma sio suala la upendo mtu flani kutoa kazi. Sasa vijana