Simbachawene: Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuanzisha Makanisa, Wachungaji watapaswa kuwa na Shahada ili kupunguza "Vibanda Imani"

Lakini na usomi wao hayakui yanapitwa na ya akina kakobe wasiosoma
Kakobe unasemaje kakua wkt kaweka kanisa mfukoni siku akifa?.
Ama gwajima ama huyu Mwamposa?.
Ni heri kanisa likawa taasisi
Ni kama vile leo useme kanisa Katoliki halikui wakati liko kila sehemu ama lutheran ama Sabato ama Islamu Misikiti iko kila sehemu
 
Mtume SAW alikuwa hana degree
Yesu alikimbia umande pia
Mitume 12 ukiacha mathayo labda Na Yuda mwizi na msaliti wote walikuwa hawana hata cheti cha LA saba ya huko galilaya.

Waziri azingatie maandiko Bwana....

Asitunyang'anye tonge
 
Ingawa mimi sina ufungamano na dini rasmi yoyote, na zaidi, siamini hata uwepo wa Mungu, napenda sana kudumishwa kwa haki za kikatiba za uhuru wa kuabudu.

Kila mtu aabudu anavyotaka, ilimradi havunji sheria wala kuhatarisha usalama.

Katiba inatupa haki za kuabudu.Haki hizi ni za msingi na zina historia ndefu.

Kuweka vikwazo vya elimu ya kidunia kwenye uchungaji ni kuiminya haki hii ya kikatiba.

Sheria yoyote itakayolazimisha mchungaji awe na shahada itakuwa inaminya uhuru wa kikatiba wa kuabudu, vipi kama dini haiamini katika elimu ya kidunia? Na yenyewe ilazimishwe mchungaji wake awe na shahada?

Tunahitaji serikali iweke mazingira ya usalama ili watu waabudu kwa uhuru na usalama, hatuhitaji serikali iingilie uhuru wa kuabudu.

Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha mawili hayo.

Tamko hili la waziri lilitekelezwa, serikali itakuwa imeingilia uhuru wa kuabudu bila kuzidisha usalama.

Kwa sababu, hata hizo shahada hazihakikishi wachungaji hawatafanya mambo vibaya.
 
NO
Inabidi twende mbali zaidi kumaliza hilo tatizo

jitahidi kutafakari factors zote na uone namna ya kuzi'control/monitor
imani huwezi ku monitor ku control wewe sio mungu unachoweza monitor na ku control ni usalama.Imani huibuka kila siku mpya wewe waamini mungu mmoja wengine wanaamini miungu wengi wewe unaabudu sijui Yesu muhindu anaabudu ngombe .

HUKO KWENYE IMANI HUKUWEZI wewe dhibiti usalama usijipe majukumu ya u ayatollah hutawezi utaishia tu kuwangiwa dini zingine ni za wanga UKIWAINGILIA KWENYE IMANI ZAO WANAKUWANGIA
 
NO
Inabidi twende mbali zaidi kumaliza hilo tatizo
Hakuna kitu kama hicho duniani kinachoitwa kumaliza tatizo .Duniani kuna kupunguza tatizo tu iwe katika eneo lolote liwe la kisiasa.kiuchumi ,kidini nk unapunguza

serikali ajali zilikuwa nyingi za mabasi kupunguza tatizo wakaja na spidi governor .LAKINI HAZIKUMALIZA TATIZO LA AJALI ZILIPUNGUZA AJALI ZIMEENDELEA KUWEPO
 
Serikali u can do it very simply..infact serikali ina jukumu la ku'regulate kinachoendelea nchini kwa maslahi mapana ya kitaifa

Hizi imani nazo ziwe na usajili....simple
Kiunzi...degree ya theology..cant wait kwa kweli
Wengi wao hawa jamaa ni matapeli afterall

Yesu tu hajawahi sababisha 'stampede' who are youu?.,
 
Okay hapo i agree
Tutumie 'kupunguza' as the keyword
Hizi dini nazo serikali ina uwezo mkubwa tu wa kucontrol kwa kiasi fulani
 
Hata Katoliki na Lutheran shule tupu imejaa pale
NENDA ulaya wachungaji wa LUTHERAN na mapadri WA KATOLIKI wana PHD lakini makanisa matupu hayana waumini mengine yamegeuzwa misikiti NA Maduka ya jumla kwa kukosa waumini
 
NENDA ulaya wachungaji wa LUTHERAN na mapadri WA KATOLIKI wana PHD lakini makanisa matupu hayana waumini mengine yamegeuzwa misikiti NA Maduka ya jumla kwa kukosa waumini
Na ndo maana wazungu hawashoboki na mafuta feki wala dini
Washajua maisha ni zaidi ya dini
Na ukishatambua hilo wewe kama Mtawala lazma u'regulate
 
Okay hapo i agree
Tutumie 'kupunguza' as the keyword
Hizi dini nazo serikali ina uwezo mkubwa tu wa kucontrol kwa kiasi fulani
katiba inatamka wazi serikali haina dini, serikali isiyo na dini ita control dini vipi? ni kinyume cha katiba .SIO KAZI YAO KUULIZA FREEMASON anaabuduje na kutaka kuingia kama viongozi wa serikali waone wanavyoabudu wao kama controllers wa dini!!!!

serikali inasajili NgO SIO dini kwa hiyo usimamizi wake hauko kwenye eneo la aspect za imani no bali aspect kama za usalama
 
Na ndo maana wazungu hawashoboki na mafuta feki wala dini
Washajua maisha ni zaidi ya dini
Na ukishatambua hilo wewe kama Mtawala lazma u'regulate
Kuna kitu huelewi maisha yakishakuwa bora watu wengine hawasali hawaoni sababu.ULAYA HAWASHABIKII MAFUTA WALA DINI MAISHA YAO SAFI MTU HANA KAZI ANALIPWA MSHAHARA NA NYUMBA ANAPEWA

Maskini kusali ni sehemu ya maisha yake ukimzuia anaingia msituni .Kwenye dini ni sehemu ya kupunguzia hasira zake usione watu wanajaa kuombewa ukawaita wajinga wewe inatakiwa uomboleze na uombe Mungu kama mtawala akusaidie uwasaidie hao watu kuondokana na matatizo yanayowasumbua kwenye maisha yao sio kuwafungia wakose mahali pa kwenda kulia kumlilia mungu wao wa steam out frustration zao

wewe unaonyesha una kiburi cha uzima mambo yako yako heri kwa hiyo hao wote wenye shida wanaolundikana kwa Mwamposya unawaona ngedere tu kwa sababu kwa sasa uko poa HAKIJAKUBANA CHA KUKUBANA

Wako watu wana magonjwa mazito uwezo hawana wa bima ya afya,wala kazi hawana,wala chakula wala mavazi ,ajira hawana nk mnataka wafanyaje? na serikali solution haina wajiue au? usikebehi mtu anayesali kwa kuwa wewe katumbo kako kameshiba na una kigari mtumba cha mjapani.MUNGU AWEZA KUKUTANDIKA KIBOKO chap chap kufumba na kufumbua ukajikuta kwa mwamposya na wewe unalia lia kama ngedere
 
By then unakua ushawakata makali sana tu
Imagine kumkalisha mwamposa shule miaka 3/4
akirudi atawin kirahisi kihivo?.
Kwakuwa wanachuma pesa utashangaa wataanzisha college kwa michango ya waumini wa kanisa na kutoa degree holela labda hivyo vyuo visipewe kibali

Matapeli ni matapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa wanachuma pesa utashangaa wataanzisha college kwa michango ya waumini wa kanisa na kutoa degree holela labda hivyo vyuo visipewe kibali

Matapeli ni matapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hali ya maisha hapa bongo itawachukua muda na ndo control yenyewe
Hadi wajipange hamna ghasia
 
Hili nalo neno
Nadhani uko sahihi....
Ila umeninukuu vibaya sijasema kuwe na zuio asilimia 100% hapana...ninezungumzia ku'regulate

Ni muhimu kutizama namna ya kukusanyika kuhakikisha usalama watu wanapoenda 'kupunguza stress'

ni kitu sawa na zuio la mikutano ya kisiasa watu lazma wawe na stress ila ukii'control wanapunguza stress na hapohapo wanakua salama

imagine una stress za kutosha unamlilia Mungu na bado unafia hapo kwenye kukanyagana...js imagine
 
Kwakuwa wanachuma pesa utashangaa wataanzisha college kwa michango ya waumini wa kanisa na kutoa degree holela labda hivyo vyuo visipewe kibali

Matapeli ni matapeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
umaskini mbaya sana marekani Mpiga ngumi Evander HOLLFIELD alitoa sadaka fungu la kumi dollar milioni 20 sawa na shilingi za tanzania bilioni 40 za Tanzaniia wewe vishilingi vyako vya sadaka elfu kumi tu kelele utafikiri unaumwa kipindupindu

uliza makanisa yote wapiga kelele wote kuwa viongozi wa dini wanakula sadaka sio watoaji iwe katoliki,angilikana.lutheran au kokote .WATOAJI HAWAPIGI KELELE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…