Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Waziri George Simbachawene amesema Serikali ilifanya maamuzi ya kuhamia Dodoma mwaka 1973 na sasa taasisi zote muhimu zinakamilisha ujenzi wa majengo yake Dodoma ikiwemo Ikulu na wizara zote zimetengewa bilioni 20.
Simbachawene amesema zipo taasisi zinazosita kuhamia Dodoma na wako watu wanaofikiria Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan hapendi Dodoma kitu ambacho wanamsingizia. Amesema Rais anatenda kwa vitendo na pesa inayoingia Dodoma ni nyingi kwasababu hiyo.
Simbachawene amesema Rais Samia hana makusudio yoyote ya kurejesha makao makuu Dar es Salaam na wiki ijayo atatoa tamko kwa wale ambao bado wanasitasita kuhamia Dodoma
Simbachawene amesema zipo taasisi zinazosita kuhamia Dodoma na wako watu wanaofikiria Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan hapendi Dodoma kitu ambacho wanamsingizia. Amesema Rais anatenda kwa vitendo na pesa inayoingia Dodoma ni nyingi kwasababu hiyo.
Simbachawene amesema Rais Samia hana makusudio yoyote ya kurejesha makao makuu Dar es Salaam na wiki ijayo atatoa tamko kwa wale ambao bado wanasitasita kuhamia Dodoma