Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
The BEGGINING✖️✖️✖️✖️Shukrani kwa kunilekebisha. Naomba nisaidie kuonesha sehemu nyingine nilipokosea ili nifanye editing
The Beginning ✔️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The BEGGINING✖️✖️✖️✖️Shukrani kwa kunilekebisha. Naomba nisaidie kuonesha sehemu nyingine nilipokosea ili nifanye editing
Yote kwa yote dhumuni ni utani tu, hata Ally Kamwe mwenyewe sio kwamba ni kweli alikua anaenda kumchukua mke wa Mwijaku ni tukio lilipangwa kuanza na kuisha kama ilivyotokea. Lengo ni utani sio kutoa darasa la lugha, kwaiyo kama imeeleweka sio mbayaHaiwezi kuwa hivyo, fun ni adjective
Ikiwa hujaona kosa basi napata shaka juu ya post uliyoweka kwa hii lugha
Nimeelewa mkuu yaisheYote kwa yote dhumuni ni utani tu, hata Ally Kamwe mwenyewe sio kwamba ni kweli alikua anaenda kumchukua mke wa Mwijaku ni tukio lilipangwa kuanza na kuisha kama ilivyotokea. Lengo ni utani sio kutoa darasa la lugha, kwaiyo kama imeeleweka sio mbaya
Nitashukuru pia ukinionesha na sehemu zingine ambazo nimekosea ili niweze kufanya editingNimeelewa mkuu yaishe
Kwani ushathibitisha kauli ya haji manara 😄 🤣 😂😀😀😀 lazima tuthibitishe kwamba Rage alikua sahihi.
Mlopokaji yule achana naeKwani ushathibitisha kauli ya haji manara 😄 🤣 😂
Sasa matiti kuwa wazi ni uendawazimu? Huo nao si ni uafrika (in Swaziland voice)Usipaniki mzee baba ni utani wa jadi tu, hao wazungu wenyewe wanaokuita nyani wana wendawazimu wao. Huyu ni shabiki wa Argentina akishangilia matiti wazi baada ya Argentina kuchukua world cup View attachment 3065995