Simbu akatwa jina na Henry Tandau na Ghulam kwenye uchaguzi wa kamisheni

Simbu akatwa jina na Henry Tandau na Ghulam kwenye uchaguzi wa kamisheni

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
IMG_4440.jpeg
Mwanariadha wa kimataifa Alphonce felix Simbu aliyekuwa anagombea uongozi wa Kamisheni ya Wachezaji (KAWATA) wa Olimpiki Tanzania jina lake limekatwa na wazee wa wanafiki na wazadiki wa TOC, ambao ni Henry Tandau na Rashid Ghulamu Sababu kubwa ni yeye simbu kukataa kukimbilia kampuni ya Asics kwenye mashindano ya olimpiki paris ufaransa na kutumia kampuni ya Xtep vitu ambavyo ni hila na fitina zisizo na maana yeyote.

Hawa wazee pamoja na Filbert Bayi ni wazee waliorudisha nyuma maendeleo ya michezo hasa wa riadha kwa hila na fitina ili vijana wasionekane wakimzidi Filbert bayi.

Soma Pia: TOC kufanya uchaguzi Disemba 14, Filbert Bayi Kugombea tena

Tunaomba TAKUKURU NA SERIKALI IWATIZAME HAWA WAZEE KWA JICHO LA TATU; ikiwa ni pamoja na kufilisi mali zao.
 
Back
Top Bottom