SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,889
Kwa wale wamiliki wa simu za mkononi nchini Tanzania:
**TCRA wametoa taarifa kuyataka makampuni yote ya simu za mkononi kufanya registration ya wateja wake ndani ya miezi sita kuanzia Julai mosi mwaka huu (2009). Tazama kiambatanisho hapo chini.
My take:
Ni hatua nzuri ingawa nadhani imechelewa sana ukizingatia madhara makubwa yaliyokwisha kuwakumba watu mabalimbali kutokana na uuzaji/utumiaji holela wa SIMCARDS.
Suala hili pia linahitaji umakini mkubwa kwa sababu linaweza pia kutumiwa katika kuingilia uhuru wa watu binafsi (privacy) na hata unlawful tracking by the government.
**TCRA = Tanzania Telecommunication Regulatory Authority
**TCRA wametoa taarifa kuyataka makampuni yote ya simu za mkononi kufanya registration ya wateja wake ndani ya miezi sita kuanzia Julai mosi mwaka huu (2009). Tazama kiambatanisho hapo chini.
My take:
Ni hatua nzuri ingawa nadhani imechelewa sana ukizingatia madhara makubwa yaliyokwisha kuwakumba watu mabalimbali kutokana na uuzaji/utumiaji holela wa SIMCARDS.
Suala hili pia linahitaji umakini mkubwa kwa sababu linaweza pia kutumiwa katika kuingilia uhuru wa watu binafsi (privacy) na hata unlawful tracking by the government.
**TCRA = Tanzania Telecommunication Regulatory Authority
Attachments
Last edited: