Simeon Nyachae: Huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara hodari sana

Simeon Nyachae: Huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara hodari sana

Kamuweke sonko dhamana!
Kesi ya ugaidi kisa kasema independence ana sshhhh wida

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Vipi mumeongeza nyingine Mbeyà au ile moja mshaharibu
 
Vipi mumeongeza nyingine Mbeyà au ile moja mshaharibu
Naona mna msulubu gov

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Naona mna msulubu gov

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Poleni sana nilidhani ni Wakenya tu, kumb ni kote
 
Poleni sana nilidhani ni Wakenya tu, kumb ni kote
Siasa za afrika mashariki ya mbariiiii hzo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
1
Inaonekana hata Kiswahili hukifahamu. Kisukuma sikifahamu mimi kwa hivyo siwezi kukusaidia.


Ilikutosha uliposema kando=pembeni.

Tambo zote hizo za nini??!!---- je wewe wajua Kiswahili kuliko mimi??, toka lini Mkenya akajua kiswahili kuliko Mtz??, hiyo ni sawa na An American ajue kiingereza kuliko a native Englishman.🤣

Kando hutumika, mfano; at the river bank, kandoni mwa mto.
Pembeni hutumika mfano, A man stood beside him.
 
Huko kwenu utajiri umemilikiwa na waarabu na wahindi, maana mfumo wenu wa ujamaa wa kipumbavu sana, mweusi akiinuka kidogo mnamtafutia matukio, mara mhujumu uchumi mara hiki mara kile, ni mfumo uliowafanya muishi kama watumwa kifikira na ndio maana mpo maskini mpaka leo licha ya nchi kuwa na raslimali zote, mumetujazia omba omba huku.

Kuna mzee mmoja Mtanzania alinihadithia namna huo mfumo ulikua wa kijinga, alinunua gari ila ghafla akatembelewa na usalama wa taifa enzi hizo, walipekua nyumba yote kila kitu mpaka wakachana masofa, wakamhoji sana wapi ametoa hela za kununua gari, licha ya kwamba alikua mwanabiashara, hiyo mentality ndio mumekua nayo mpaka leo, pale hata mkulu wenu anadiriki kusema atawafanya matajiri waishi kama mashetani.
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,
 
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,

Yeah Wasomali huwa tumewakaribisha hawabaguliwi kama huko kwenu, wageni wote hata jamii ya Wachagga wamewekeza sana Kenya, tumejaribu kwa kila namna kuhamasisha uwekezaji wa wageni humu, ila sasa tofauti yetu na nyie ipo kwenye wazawa, maana sisi tunakwenda na wageni bega kwa bega, utakuta wazawa weusi wengi wanatajwa kwenye utajiri, tofauti na kwenu mliolemazwa na ujamaa.

Kwenu huko isingekua kwa jamii ya Wachagga akina Mengi, hamngetajwa kwa chochote.
 
Inapokuja kwenye swala la biashara kubwa kubwa huwezi ikwepa serikali na serikali inaongozwa na wanasiasa hope umeelewa sasa
 
1


Ilikutosha uliposema kando=pembeni.

Tambo zote hizo za nini??!!---- je wewe wajua Kiswahili kuliko mimi??, toka lini Mkenya akajua kiswahili kuliko Mtz??, hiyo ni sawa na An American ajue kiingereza kuliko a native Englishman.🤣

Kando hutumika, mfano; at the river bank, kandoni mwa mto.
Pembeni hutumika mfano, A man stood beside him.

Wacha kupotosha, mara nyingi "pembeni" hutumika kama tafsida ila ni kisawe cha "kando".
 
Huko kwenu utajiri umemilikiwa na waarabu na wahindi, maana mfumo wenu wa ujamaa wa kipumbavu sana, mweusi akiinuka kidogo mnamtafutia matukio, mara mhujumu uchumi mara hiki mara kile, ni mfumo uliowafanya muishi kama watumwa kifikira na ndio maana mpo maskini mpaka leo licha ya nchi kuwa na raslimali zote, mumetujazia omba omba huku.

Kuna mzee mmoja Mtanzania alinihadithia namna huo mfumo ulikua wa kijinga, alinunua gari ila ghafla akatembelewa na usalama wa taifa enzi hizo, walipekua nyumba yote kila kitu mpaka wakachana masofa, wakamhoji sana wapi ametoa hela za kununua gari, licha ya kwamba alikua mwanabiashara, hiyo mentality ndio mumekua nayo mpaka leo, pale hata mkulu wenu anadiriki kusema atawafanya matajiri waishi kama mashetani.
Hao matajiri wenu Hata mifuko yao imetoboka tu Kenya ni nchi ya kibepari ndio lakini ni ubepari uliotunga mimba kutokana na wizi na kuzaa mwana anaeitwa ufisadi sijapata kuona nchi yenye ufisadi wa kutisha baada Nigeria ni Kenya wale jamaa ni wezi na mafisadi wa Kitaluma kabisa.Utakuta nchi kama Kenya ina Matajiri lakini pia Ina maskini wa kutupwa ,masikini wa Kenya sio masikini katika kiwango unachokielewa wewe hawana Ardhi kabisa.Angalia sana unapojisifu na sera ya ubepari wakati umewanyima watu Ardhi na Kumiliki rasilimali zao wenyewe.
 
Wacha kupotosha, mara nyingi "pembeni" hutumika kama tafsida ila ni kisawe cha "kando".


Wewe shukuru Mungu upo na Watz na ndio maana kiswahili chako angalau kimenyooka, nimesikia wewe ni miongoni mwa wakenya wachache mnaoongea Kiswahili safi. Vinginevyo ungekuwa unaandika "Sheng'. 🤣
 
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,
Eti nini? Eti Wahindi huko TZ walikuwa wanafanya biashara bila kulipa kodi?
 
Huyu mzee alikuwa shareholder kwenye benki nyingi hapa Kenya. Na alikuwa shareholder kwenye makampuni mengine yenye milling na tea processing. Story yake ni interesting sana na inspiring sana. Kama unaweza kusoma Kiingereza, soma kuhusu biashara alizomiliki hapa chini

========

By OTIATO GUGUYU
More by this Author

SUMMARY​

  • He owns 9.5 million shares or 0.5 percent stake in NCBA while his Sansora Group holds 6.9 million shares or 0.4 percent stake in the new lender.
  • Mr Nyachae was among the top owners of Transnational Bank through Simbi Investors’ 8.2 million shares or 4.11 percent of the bank before it was bought out by Nigeria’s Access Bank.
  • He owns 14.96 per cent stake of Credit Bank through Sansora Group where he was the founding member and formerly served as the chairman.

If Kenyan bank shareholders and directors were required to attend AGMs on the same day, Simeon Nyachae would have had difficulty choosing which ones to go to or skip.

Mr Nyachae, who died on Monday, February 1, at 88, owned stakes in Credit Bank, Commercial Bank of Africa (now NCBA), Transnational Bank and I&M Bank -- making him part of elite business clique that dominated the economy and politics.

The former Cabinet minister and senior public servant had 3.1 million CBA shares, which ensured he was one of the leading owners of the recently created NCBA Group after the merger with NIC Bank.

He owns 9.5 million shares or 0.5 percent stake in NCBA while his Sansora Group holds 6.9 million shares or 0.4 percent stake in the new lender.

Mr Nyachae was among the top owners of Transnational Bank through Simbi Investors’ 8.2 million shares or 4.11 percent of the bank before it was bought out by Nigeria’s Access Bank.

He owns 14.96 per cent stake in Credit Bank through Sansora Group where he was the founding member and formerly served as the chairman.

The Unclaimed Financial Assets Authority (UFAA) at one time listed the former Cabinet minister as among those whose docile shares in KCB , Safaricom and Co-operative Bank were forwarded to the agency.

Although Mr Nyachae controlled a vast business empire with interests in manufacturing, transport, and large-scale agriculture he seemed to have an inclination to banking and milling.

He was a shareholder at Swan Millers and Sansora Limited, milling businesses that echoed his 1954 Sansora Bakery operations at Nyantunango Market.

His was typical old money, made a time when business and State were joined at the hip and whose owners sat next to each other on company boards or Cabinet meetings.

At NCBA, Mr Nyachae owned a stake alongside Naushad Merali and the families of Kenya’s founding President Mzee Jomo Kenyatta and former Central Bank of Kenya governor Philip Ndegwa.

At Transnational Bank he was among close associates of former President Moi, including Joshua Kulei and former Vice President George Saitoti.

He also kept the business in the family, with his wife Grace Nyachae sitting on the boards of Credit Bank, Sotik Tea Company Limited, Sansora Group.

Grace served as Mzee Kenyatta’s secretary at State House in 1969.

His son Leon Nyachae sat on the boards of Credit Bank and Sansora Group and was his alternative director at Kenindia where Sansora owned a 7.9 percent stake.

The Swan Millers case showed a glimpse of how he transacted business with his many related businesses and involved close family members.

“Directors were given the opportunity to look for buyers of the company assets, but Mr Simeon Nyachae, unfortunately, rejected an earlier offer made to the company and proceeded together with his son one Michael Nyachae; his alternate director in the company, through the firm of Nyachae & Company Advocates, a firm run by his other son one Charles Nyachae, to sell the assets and property of the company at a gross undervalue of Sh300,000,000/= to Mombasa Millers Limited without the resolution of the board of directors,” Justice Francis Gikonyo said in the ruling.

Editor's note: Story corrected to remove Prime Bank as one of the entities Nyachae had a stake in.
Its a good story, but i dont thing he was one of the tycoons rather a mere millionaires
He did his part now its up to the family he trusted the most
 
Its a good story, but i dont thing he was one of the tycoons rather a mere millionaires
He did his part now its up to the family he trusted the most
He is a dollar millionaire. Not just a mere millionaire. Unajua Wakenya wakija Bongo wanakuwa millionaire maana pesa yenu ni mbovu. So kuwa millionaire sio big deal lakini kuwa dollar millionaire ni big deal.
 
Hao matajiri wenu Hata mifuko yao imetoboka tu Kenya ni nchi ya kibepari ndio lakini ni ubepari uliotunga mimba kutokana na wizi na kuzaa mwana anaeitwa ufisadi sijapata kuona nchi yenye ufisadi wa kutisha baada Nigeria ni Kenya wale jamaa ni wezi na mafisadi wa Kitaluma kabisa.Utakuta nchi kama Kenya ina Matajiri lakini pia Ina maskini wa kutupwa ,masikini wa Kenya sio masikini katika kiwango unachokielewa wewe hawana Ardhi kabisa.Angalia sana unapojisifu na sera ya ubepari wakati umewanyima watu Ardhi na Kumiliki rasilimali zao wenyewe.

Ufisadi unatajwa sana Kenya kwa vile sisi tuna jeuri ya kupiga makelele, hatujadumazwa kama mlivyo huko, mnaliwa tena kibabebabe, juzi trilioni 1.5 zimetafunwa mkamuacha mkaguzi mkuu aongee na kuhangaika mwenyewe, nchi yote kila mtu chali, huwa mpo legelege kijinga sana.
Ingekua mnapiga makelele kama sisi, leo hii msingekua maskini mpaka nusra tuwazidi mara mbili kiuchumi licha ya kwamba mna raslimali nyingi mara kumi yetu lakini nyie wenyewe maskini wa kutupwa jalalani.
 
Back
Top Bottom