Simeon Nyachae: Huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara hodari sana

Kamuweke sonko dhamana!
Kesi ya ugaidi kisa kasema independence ana sshhhh wida

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Vipi mumeongeza nyingine Mbeyà au ile moja mshaharibu
 
Naona mna msulubu gov

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Naona mna msulubu gov

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Poleni sana nilidhani ni Wakenya tu, kumb ni kote
 
Siasa za afrika mashariki ya mbariiiii hzo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
1
Inaonekana hata Kiswahili hukifahamu. Kisukuma sikifahamu mimi kwa hivyo siwezi kukusaidia.


Ilikutosha uliposema kando=pembeni.

Tambo zote hizo za nini??!!---- je wewe wajua Kiswahili kuliko mimi??, toka lini Mkenya akajua kiswahili kuliko Mtz??, hiyo ni sawa na An American ajue kiingereza kuliko a native Englishman.🤣

Kando hutumika, mfano; at the river bank, kandoni mwa mto.
Pembeni hutumika mfano, A man stood beside him.
 
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,
 
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,

Yeah Wasomali huwa tumewakaribisha hawabaguliwi kama huko kwenu, wageni wote hata jamii ya Wachagga wamewekeza sana Kenya, tumejaribu kwa kila namna kuhamasisha uwekezaji wa wageni humu, ila sasa tofauti yetu na nyie ipo kwenye wazawa, maana sisi tunakwenda na wageni bega kwa bega, utakuta wazawa weusi wengi wanatajwa kwenye utajiri, tofauti na kwenu mliolemazwa na ujamaa.

Kwenu huko isingekua kwa jamii ya Wachagga akina Mengi, hamngetajwa kwa chochote.
 
Inapokuja kwenye swala la biashara kubwa kubwa huwezi ikwepa serikali na serikali inaongozwa na wanasiasa hope umeelewa sasa
 

Wacha kupotosha, mara nyingi "pembeni" hutumika kama tafsida ila ni kisawe cha "kando".
 
Hao matajiri wenu Hata mifuko yao imetoboka tu Kenya ni nchi ya kibepari ndio lakini ni ubepari uliotunga mimba kutokana na wizi na kuzaa mwana anaeitwa ufisadi sijapata kuona nchi yenye ufisadi wa kutisha baada Nigeria ni Kenya wale jamaa ni wezi na mafisadi wa Kitaluma kabisa.Utakuta nchi kama Kenya ina Matajiri lakini pia Ina maskini wa kutupwa ,masikini wa Kenya sio masikini katika kiwango unachokielewa wewe hawana Ardhi kabisa.Angalia sana unapojisifu na sera ya ubepari wakati umewanyima watu Ardhi na Kumiliki rasilimali zao wenyewe.
 
Wacha kupotosha, mara nyingi "pembeni" hutumika kama tafsida ila ni kisawe cha "kando".


Wewe shukuru Mungu upo na Watz na ndio maana kiswahili chako angalau kimenyooka, nimesikia wewe ni miongoni mwa wakenya wachache mnaoongea Kiswahili safi. Vinginevyo ungekuwa unaandika "Sheng'. 🤣
 
Biashara nyingi hapo kenya zinamilikiwa na Wasomali, mbona husemi, wahindi wengi wamekimbia Tz sababu walikuwa wanafanyabiashara Bila kulipa kodi,
Eti nini? Eti Wahindi huko TZ walikuwa wanafanya biashara bila kulipa kodi?
 
Its a good story, but i dont thing he was one of the tycoons rather a mere millionaires
He did his part now its up to the family he trusted the most
 
Its a good story, but i dont thing he was one of the tycoons rather a mere millionaires
He did his part now its up to the family he trusted the most
He is a dollar millionaire. Not just a mere millionaire. Unajua Wakenya wakija Bongo wanakuwa millionaire maana pesa yenu ni mbovu. So kuwa millionaire sio big deal lakini kuwa dollar millionaire ni big deal.
 

Ufisadi unatajwa sana Kenya kwa vile sisi tuna jeuri ya kupiga makelele, hatujadumazwa kama mlivyo huko, mnaliwa tena kibabebabe, juzi trilioni 1.5 zimetafunwa mkamuacha mkaguzi mkuu aongee na kuhangaika mwenyewe, nchi yote kila mtu chali, huwa mpo legelege kijinga sana.
Ingekua mnapiga makelele kama sisi, leo hii msingekua maskini mpaka nusra tuwazidi mara mbili kiuchumi licha ya kwamba mna raslimali nyingi mara kumi yetu lakini nyie wenyewe maskini wa kutupwa jalalani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…