😀😀Hilo jina la huyo msanii (SIMI) nikiliona tu nadidisha sijui kwa nini
Au Modds mnasemaje?
wanamuziki karibia naowajua walianzia kuimba kwaya makanisani wote wanasauti za uhalisia wa kuimba...lady jay de, kanyamozi, kidumu, john legend, simi, na wengine wengi sanaa.
hata ukiusikiliza muziki wanaouimba unafanana sana pamoja na kutokea mataifa tofauti tofauti na kutumia lugha tofauti,,,,ila kuna mtu hapo juu kamtaja camila cabello aisee yule mrimbwende anaimba sana bila kumsahau anne marie.
[emoji23][emoji23][emoji23] eti au Mods mnasemajeHilo jina la huyo msanii (SIMI) nikiliona tu nadidisha sijui kwa nini
Au Modds mnasemaje?
Shukrani na pamoja sana mkuunadhani wewe ndiye umekata mzizi wa fitna kwa uzi huu...kongolee kwako mkuu.
Sijui kwanini sijawahi kupenda nyimbo zake!!!
Hapa bongo underrated ni weng mfano barnaba
Its not over until its over...[emoji769]
Sasa nimuonee wivu kwani mimi naimba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda ile kitu gwajiboy anaita "ni wivu tuu"
komesha korona
Barnaba ni fundi ila sijui kwann simuelewagi
komesha korona
Mi naupenda sana one kain wa simiWimbo wa kuitwa soldier wa Falz feat Simi,
natamani kumdediketia mtu. Ni hatari sana
hiyo kitu. Simi anajua sana, namfananisha na
Ruby!
Falz inasemekana ni bebe wake huyoWimbo wa kuitwa soldier wa Falz feat Simi,
natamani kumdediketia mtu. Ni hatari sana
hiyo kitu. Simi anajua sana, namfananisha na
Ruby!
Huyu dada n hatar kaka, nlianza kumfatilia kwenye wimbo aloshirikishwa na jamaa anaitwa Falz hadi leo hunambii kitu, hiyo duduke siyo poa asa tafuta wimbo unaitwa KNOW YOU kashirikishwa na jamaa anaitwa LADIPOE siyo poa mzee.Nasikiliza hii nyimbo mpya ya Simi inaitwa Duduke Daaah huyu Simi ni Underrated...
Hawa kina Yemi Alade,Tiwa Savage sijui wanampitaje kimafanikio..
Lakini mziki wa Simi ni Quality saana...Kama Camila Cabello wa Afrika
ALIKIBA na DIAMOND hahahahaamziki ndio huko ivyo ukijua sana utaishia kusifiwa.camilla anajua sana but ariana anakmbza sana