SIMIYU: Jeshi la Polisi lamkamata mtuhumiwa (mganga wa kienyeji) akiwa na fisi

Sema mganga nae kazingua, kama sio muda wa kumtumia, si ilibidi amgeuze fisi wireless..yan haonekani!!!
 
maadamu jeshi limebaini viashiria vya tamaduni kutolinda utu na mali za raia nawaunga mkono ndugu zangu kwa hilo
 
Ila CCM wamezidi. Kwahiyo hizo nguo za mbogamboga walivaa saa ngapi?
Huyo mnyama awape hao TAWA waone moto wake
 
Japo pengine ni nyara za serikali lakini polisi wamekurupuka. Mkuu wa mkoa Kihongosi alipofika tu ilibidi ajitambulishe kwa waganga wa kienyeji wote wa Simiyu; na naamini ataingilia kati na mganga huyu ataachiwa huru.

Fisi hawa wanaotumiwa na waganga wa kienyeji pamoja na wachawi siyo fisi halisi bali ni vivuli tu vya mambo mengine. Fisi hawa wakikutembelea usiku wanaweza kukusemesha kabisa kwa kukuita jina lako; na kwamba wamekuja kukusalimu. Inashauriwa sana kuwa usiwajibu maana ukikosea tu ukawasemesha basi kwa hakika kitaumana kama huna kinga; na utaresti ini pisi kishikaji shikaji tu.

Fisi hawa hutumiwa kama vyombo vya usafiri; na kuchukua watu ikiwemo misukule ili kuwapeleka sehemu wanakohitajika. Na ili kumiliki fisi wako kwa ajili ya shughuli hizi ni process ndefu kidogo maana inabidi utume maombi na ukubaliwe kuwa unastahili. Na hii inaambatana na kufikia cheo fulani katika rank za uchawi; na ni lazima utoe mtoto wako mpendwa au ndugu yako wa karibu kama mchango wako katika īgūngūli (jumuia) ulilomo. Hivyo ukiona mtu ana fisi wake basi tambua kuwa mtu huyo ni mchawi aliyehitimu.

Huyu mganga ataachiwa huru!
 
Ethiopia wanapiga nao stori kabsa 😃
Your browser is not able to display this video.
 
Huyo Mganga nae kafeli kwanini asingewapiga Upofu hao askari au awaoteshe mabusha ili wawe na adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…