MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Hiyo idadi ya waliokamatwa Ni kubwa mno, sio Jambo la kujivunia, wasikilizwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifinyo kawaida, ipo siku shilingi itageuka na furaha itahamia upande wa piliDah watz😃😃😃😃
Hao leo ni mwendo wa kifinyo tuu🤣🤣🤣
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Polisi wa Nchi Gani hao??Jeshi la polisi lichukulie hilo suala kwa uzito,wananchi wameghadhibika,wanalipa kodi ili walindwe wao na mali zao,halafu watoto wanapotea.
Walishuhgulikie hilo suala kwa weledi.
Wangekukata na kichwa kabisaAkizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Hilo nalo ni neno.Kuna msemo unasemaga no sweet without sweat,kama unataka mabadiriko lazima kuyatafta kwa nguvu maana demokrasia imeshindwa.
Hapo anasema tangu afike huko hajawahi kuletewa kesi ya kupotea kwa mtoto? Tuseme hao watu wamerukwa na akili mpaka wafanye fujo zisizo na tijan?
Yeye kama district commissioner lazima awajibike siyo kila siku anakuja na ngonjera za kukanusha wakati watoto wanapotea,
Kama umeletewa hizo kesi mara nyingi lakini hakuna la maana umefanya kwanini wasichukue Sheria?
Washughulikiwe wote waliotaka kuvamia Polisi,kukiteka na kuchukua sheria mkononiAkizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea