SIMIYU: Mmoja ajinyonga mpaka kufa akiwakimbia RC Kafulila na Rais Samia

SIMIYU: Mmoja ajinyonga mpaka kufa akiwakimbia RC Kafulila na Rais Samia

kwa hiyo akifa sasa wanae wataishije?
Aulizwe aliyeandika huo ujumbe.

Hakuna mwenye hakika kama marehemu ndie mwandishi na kajiua.

Nchi zilizoendelea, zenye vyombo vya wachunguzi weledi, na raia wasomi, na wana habari wataalam, wakikuta kitanzi shambani hawakimbilii kusema marehemu kajinyonga, bwana ametoa, bwana ametwaa, chanzo Kafulila, twendeni tukaswali halafu tukazike. Hell freaking no!
 
View attachment 2243783
===
Mr Daniel Jilala mwenye umri wa miaka43 ambaye ni katibu wa chama cha msingi cha Ushirika AMCOS,

Mkazi wa kijiji cha Sulu wilaya ya Maswa mkoani Simiyu amekutwa amejinyonga kwa kamba kwenye mti jana jioni Mei27, 2022,

Bwana Jilala ameacha ujumbe wa simu( sms) aliomtumia mmoja wa afisa wa TAKUKURU ulioshiria kuwa ni muhanga wa opareshen inayoendeshwa na RC Kafulila wa Mkoani Simiyu,

RC David Kafulila ameanzisha operesheni hii ili kusafisha uozo ndani ya vyama Ushirika,

Mtakumbuka oparesgen hii ina baraka za Rais Samia Suluhu Hassan,

Simu ya marehemu imekutwa na ujumbe aliomtumia kwa mmoja wa maofisa TAKUKURU wilaya Maswa mwenye namba 0622591912 uliosomeka

" NIMEAMUA KUJIUA KWASABABU SIJASAIDIWA , NAOMBWA RUSHWA KILA SIKU NA AFISA USHIRIKA BUDODI KUWA ANAWAPELEKEA TAKUKURU MKOA LAKINI SIONI MATUMAINI YA SUALA LANGU NA INAELEKEA NITAFUNGWA, SASA SIONI SABABU KUISHI KWANI SIJUI WANANGU WATAISHIJE IKIWA NITAFUNGWA"

April 4, 2022 akigawa pikipiki Dodoma kwa maofisa ugani nchi nzima tukio lilioandaliwa na wizara ya Kilimo,

Rais Samia Sukuhu Hassan alimwelekeza Mkuu wa Mkoa Simiyu, Mhe David Kafulila kuendelea kudhibiti wizi wa pembejeo za pamba na michezo michafu kwenye vyama vya ushirika na Ushirika..

" Nakuagiza Kafulila, endelea kuwakaba, najua wapo ambao mliowafungulia mpaka kesi za uhujumu uchumi kwa wizi wa madawa ya pamba. Nasisitiza endelea kuwakaba wezi wa pembejeo na ushirika wote tena kwa hatua kali mpaka wazijue rangi zangu" aliagiza Rais Samia Suluhu Hassan,

Katika utekelezaji huo RC Kafulila aliwaondoa maofisa ushirika wote ngazi ya wilaya na kuelekeza wapangiwe kazi zingine wilayani kwani ni sehemu ya madhaifu ya usimamizi wa ushirika na hujuma kwa wakulima pamba.

Mpaka sasa vyama vya msingi 182 kati ya 335 vimefanyiwa uchunguzi na TAKUKURU ambapo nyingi zimerejesha fedha ama za wakulima au wanunuzi na kubaki AMCOS 37.
Majizi yakiisha ndio safi ..

Hiyo Kanda ina majizi Sana ,mwengine haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-202150.png
    Screenshot_20220529-202150.png
    204.4 KB · Views: 21
Kuna uhakika kiasi gani kwamba hio SMS alituma yeye, na amekutwa amejinyonga au amenyongwa ?

Ni vigumu kutoa conlusion za haraka haraka kabla ya uchunguzi, au uchunguzi ushaisha ?
 
Kuna uhakika kiasi gani kwamba hio SMS alituma yeye, na amekutwa amejinyonga au amenyongwa ?

Ni vigumu kutoa conlusion za haraka haraka kabla ya uchunguzi, au uchunguzi ushaisha ?
Sasa simu si ni yake? Rushwa haifai kabisa,
 
𝚔𝚑𝚊 𝚎𝚝𝚒 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚒𝚜𝚑𝚒𝚓𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚗𝚒𝚝𝚊𝚏𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚜𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚒𝚜𝚑𝚒𝚓𝚎 𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚏𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚑𝚊𝚒𝚗𝚊 𝚛𝚞𝚏𝚊𝚊
 
Hv angeacha kazi akikimbilia hata kokote akatafutwa wee akakosekana akaamisha familia yake ingekuwa je?
 
Hujui wataishije ukifungwa.

Ila ukifa ndiyo utajua?
 
Aliogopa akifungwa watoto wake wataishije, alivyo amua kujinyonga wataishi vipi? Maisha mengine unazitafuna vizuri upepo ukigeuka mmm pumzika sasa sijui ni kwa amani!
Mtu akishafikia kiwango cha juu katika kukata tamaa ya kuishi basi atatoa sababu yoyote kuhalalisha kitendo anachotaka kukifanya huku sababu hiyo ikiwa haina mashiko kabisa kwa mtu yeyote aliye na utulivu wa akili.
 
𝚔𝚑𝚊 𝚎𝚝𝚒 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚗𝚐𝚞 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚒𝚜𝚑𝚒𝚓𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚗𝚒𝚝𝚊𝚏𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚜𝚊𝚜𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚒𝚜𝚑𝚒𝚓𝚎 𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚏𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚘 𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚑𝚊𝚒𝚗𝚊 𝚛𝚞𝚏𝚊𝚊
Amekosea sana,
 
Sawa kafulila tumekusoma ,so umefurahia jamaa kujiua
 
Mmmh, wamemtumisha hiyo meseji kinguvu halafu wakamnyonga, uchunguzi ufanyike na waliomnyonga wapatikane
 
View attachment 2243783
===
Mr Daniel Jilala mwenye umri wa miaka43 ambaye ni katibu wa chama cha msingi cha Ushirika AMCOS,

Mkazi wa kijiji cha Sulu wilaya ya Maswa mkoani Simiyu amekutwa amejinyonga kwa kamba kwenye mti jana jioni Mei27, 2022,

Bwana Jilala ameacha ujumbe wa simu( sms) aliomtumia mmoja wa afisa wa TAKUKURU ulioshiria kuwa ni muhanga wa opareshen inayoendeshwa na RC Kafulila wa Mkoani Simiyu,

RC David Kafulila ameanzisha operesheni hii ili kusafisha uozo ndani ya vyama Ushirika,

Mtakumbuka oparesgen hii ina baraka za Rais Samia Suluhu Hassan,

Simu ya marehemu imekutwa na ujumbe aliomtumia kwa mmoja wa maofisa TAKUKURU wilaya Maswa mwenye namba 0622591912 uliosomeka

" NIMEAMUA KUJIUA KWASABABU SIJASAIDIWA , NAOMBWA RUSHWA KILA SIKU NA AFISA USHIRIKA BUDODI KUWA ANAWAPELEKEA TAKUKURU MKOA LAKINI SIONI MATUMAINI YA SUALA LANGU NA INAELEKEA NITAFUNGWA, SASA SIONI SABABU KUISHI KWANI SIJUI WANANGU WATAISHIJE IKIWA NITAFUNGWA"

April 4, 2022 akigawa pikipiki Dodoma kwa maofisa ugani nchi nzima tukio lilioandaliwa na wizara ya Kilimo,

Rais Samia Sukuhu Hassan alimwelekeza Mkuu wa Mkoa Simiyu, Mhe David Kafulila kuendelea kudhibiti wizi wa pembejeo za pamba na michezo michafu kwenye vyama vya ushirika na Ushirika..

" Nakuagiza Kafulila, endelea kuwakaba, najua wapo ambao mliowafungulia mpaka kesi za uhujumu uchumi kwa wizi wa madawa ya pamba. Nasisitiza endelea kuwakaba wezi wa pembejeo na ushirika wote tena kwa hatua kali mpaka wazijue rangi zangu" aliagiza Rais Samia Suluhu Hassan,

Katika utekelezaji huo RC Kafulila aliwaondoa maofisa ushirika wote ngazi ya wilaya na kuelekeza wapangiwe kazi zingine wilayani kwani ni sehemu ya madhaifu ya usimamizi wa ushirika na hujuma kwa wakulima pamba.

Mpaka sasa vyama vya msingi 182 kati ya 335 vimefanyiwa uchunguzi na TAKUKURU ambapo nyingi zimerejesha fedha ama za wakulima au wanunuzi na kubaki AMCOS 37.
Sasa wanawe wataishije na Amejiua!? [emoji849]
 
Back
Top Bottom