CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Unapingana na marehemu?Mmmh, wamemtumisha hiyo meseji kinguvu halafu wakamnyonga, uchunguzi ufanyike na waliomnyonga wapatikane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapingana na marehemu?Mmmh, wamemtumisha hiyo meseji kinguvu halafu wakamnyonga, uchunguzi ufanyike na waliomnyonga wapatikane
Kakali kwelikweli. Ndio maana Bosi mmoja eti alitaka kumlamba makofi Bungeni sababu hiyo!!Katumbili katawanyoosha, haka kajamaa naona kana moyo wa uzalendo aise
Hakuna ushahidi!Huyo ndio wa kutafutwa sasa.
Hilo tangazo kalileta yeye,mpaka kaweka namba ya afisa wa takukuru unadhani mchezo,acha ujinga dogoAcha uzuzu Kafulila kahusikaje hapo kwenye kifo cha huyo mtu?
Kazi ya TanPol/CID, DPP na PCCB hiyo.Hakuna ushahidi!
Sijahukumu. Vyombo vya upelelezi vipo na vya kutoa haki vipo.Umeshamuamini marehemu tayari,kwa ujumbe ambao huna uhakika Kama ni wa marehemu
Kalitiisa sana ESCROWKatumbili katawanyoosha, haka kajamaa naona kana moyo wa uzalendo aise
Uchunguzi muhimu hapoooAulizwe aliyeandika huo ujumbe.
Hakuna mwenye hakika kama marehemu ndie mwandishi na kajiua.
Nchi zilizoendelea, zenye vyombo vya wachunguzi weledi, na raia wasomi, na wana habari wataalam, wakikuta kitanzi shambani hawakimbilii kusema marehemu kajinyonga, bwana ametoa, bwana ametwaa, chanzo Kafulila, twendeni tukaswali halafu tukazike. Hell freaking no!
Yawezekana kweli....ili watu walinde ugali wao.Kauwawa huyo, staged.
Huyu ni mwandisha wa habari, acha kuwa chiniHilo tangazo kalileta yeye,mpaka kaweka namba ya afisa wa takukuru unadhani mchezo,acha ujinga dogo
No, kila kitu kiko wazi sanaYawezekana kweli....ili watu walinde ugali wao.
Tumbili ni tumbili tu. Hukumbuki kalinunuliwa kwa Bei ya jioni kwenye utawala wa mtu yule?Katumbili katawanyoosha, haka kajamaa naona kana moyo wa uzalendo aise
Wewe unatakaje?Aulizwe aliyeandika huo ujumbe.
Hakuna mwenye hakika kama marehemu ndie mwandishi na kajiua.
Nchi zilizoendelea, zenye vyombo vya wachunguzi weledi, na raia wasomi, na wana habari wataalam, wakikuta kitanzi shambani hawakimbilii kusema marehemu kajinyonga, bwana ametoa, bwana ametwaa, chanzo Kafulila, twendeni tukaswali halafu tukazike. Hell freaking no!
😀😀😀Kwahiyo amejinyonga pamoja na wanae?
Duh!===
Mr Daniel Jilala mwenye umri wa miaka43 ambaye ni katibu wa chama cha msingi cha Ushirika AMCOS,
Mkazi wa kijiji cha Sulu wilaya ya Maswa mkoani Simiyu amekutwa amejinyonga kwa kamba kwenye mti jana jioni Mei27, 2022,
Bwana Jilala ameacha ujumbe wa simu( sms) aliomtumia mmoja wa afisa wa TAKUKURU ulioshiria kuwa ni muhanga wa opareshen inayoendeshwa na RC Kafulila wa Mkoani Simiyu,
RC David Kafulila ameanzisha operesheni hii ili kusafisha uozo ndani ya vyama Ushirika,
Mtakumbuka oparesgen hii ina baraka za Rais Samia Suluhu Hassan,
Simu ya marehemu imekutwa na ujumbe aliomtumia kwa mmoja wa maofisa TAKUKURU wilaya Maswa mwenye namba 0622591912 uliosomeka
" NIMEAMUA KUJIUA KWASABABU SIJASAIDIWA , NAOMBWA RUSHWA KILA SIKU NA AFISA USHIRIKA BUDODI KUWA ANAWAPELEKEA TAKUKURU MKOA LAKINI SIONI MATUMAINI YA SUALA LANGU NA INAELEKEA NITAFUNGWA, SASA SIONI SABABU KUISHI KWANI SIJUI WANANGU WATAISHIJE IKIWA NITAFUNGWA"
April 4, 2022 akigawa pikipiki Dodoma kwa maofisa ugani nchi nzima tukio lilioandaliwa na wizara ya Kilimo,
Rais Samia Sukuhu Hassan alimwelekeza Mkuu wa Mkoa Simiyu, Mhe David Kafulila kuendelea kudhibiti wizi wa pembejeo za pamba na michezo michafu kwenye vyama vya ushirika na Ushirika..
" Nakuagiza Kafulila, endelea kuwakaba, najua wapo ambao mliowafungulia mpaka kesi za uhujumu uchumi kwa wizi wa madawa ya pamba. Nasisitiza endelea kuwakaba wezi wa pembejeo na ushirika wote tena kwa hatua kali mpaka wazijue rangi zangu" aliagiza Rais Samia Suluhu Hassan,
Katika utekelezaji huo RC Kafulila aliwaondoa maofisa ushirika wote ngazi ya wilaya na kuelekeza wapangiwe kazi zingine wilayani kwani ni sehemu ya madhaifu ya usimamizi wa ushirika na hujuma kwa wakulima pamba.
Mpaka sasa vyama vya msingi 182 kati ya 335 vimefanyiwa uchunguzi na TAKUKURU ambapo nyingi zimerejesha fedha ama za wakulima au wanunuzi na kubaki AMCOS 37.
Kiki za kijinga hizi.
Soma polepole bila mihemko ya lichama,Mbona hoja yake sijaielewa