Simiyu: Mtoto atumbukia shimoni, afa maji

Simiyu: Mtoto atumbukia shimoni, afa maji

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Mtoto Lameck Yohana (6) amekufa maji baada ya kuteleza kwenye dimbwi alipokuwa akichota maji na kufanya idadi ya watu waliokufa maji tangu Januari mpaka sasa kufika 12 mkoani Simiyu.

Tukio hilo limetokea katika Mtaa wa Bunamhala mjini Bariadi ambapo mtoto huyo akiwa na wenzake walienda kuchota maji kwenye dimbwi ambalo limetokana na uchimbaji wa molam kwa ajili ya ujenzi wa barabara.

Chanzo: UFM
 
SELIKALI ya CCM kwa Miaka 60 ya Uhuru inashindwa kuipeleka maji kwa Wananchi.


NCHI INAVIONGOZI WA HOVYO MNO.
WNANCHI NDIO MAJUHA.


NAJUTA KUZALIWA NCHI YA WASHENZI HII.
 
Back
Top Bottom