Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwili wa kijana Ezekiel Boniphace Mangu (30) mkazi wa Kata ya Somanda Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, umekutwa umewekwa kwenye Sandarusi na kufunikwa na shuka kichakani.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi alipotea usiku wa Desemba 31/2022.
Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema kijana huyu amefariki kwa kunywa pombe huku baadhi ya wananchi wakivitaka vyombo vya usalama kuongeza uchunguzi zaidi
Chanzo: EATV
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi alipotea usiku wa Desemba 31/2022.
Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema kijana huyu amefariki kwa kunywa pombe huku baadhi ya wananchi wakivitaka vyombo vya usalama kuongeza uchunguzi zaidi
Chanzo: EATV