Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfuko wa sulphateSandarusi ni kitu gani jamani naombeni mnitafsirie kwa neno jingine.
Kiheseni😁Sandarusi ni kitu gani jamani naombeni mnitafsirie kwa neno jingine.
Haya mambo ya miili ya watu kukutwa kwenye sandarusi tulishayasahasau.yanatoka wapi tena jamaniMwili wa kijana Ezekiel Boniphace Mangu (30) mkazi wa Kata ya Somanda Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, umekutwa umewekwa kwenye Sandarusi na kufunikwa na shuka kichakani.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi alipotea usiku wa Desemba 31/2022.
Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema kijana huyu amefariki kwa kunywa pombe huku baadhi ya wananchi wakivitaka vyombo vya usalama kuongeza uchunguzi zaidi
Chanzo: EATV
Sante mkuu. Hilo neno wengi wamezoea kuliita safletiMfuko wa sulphate
Kwa Bongo hilo linawezekana!Kwa hiyo ukinywa pombe ukafariki, unajipeleka mwenyewe kwenye Sandarusi?
Pathetic!
Amekunywa pombe na kujifunika shuka akiwa kwenye sandarusi!!!Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema kijana huyu amefariki kwa kunywa pombe huku baadhi ya wananchi wakivitaka vyombo vya usalama kuongeza uchunguzi zaidi
Huyo kamanda mh! Yani mtu alewe kisha ajitie kwenye sandarus ajifunike na shuka!Mwili wa kijana Ezekiel Boniphace Mangu (30) mkazi wa Kata ya Somanda Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, umekutwa umewekwa kwenye Sandarusi na kufunikwa na shuka kichakani.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi alipotea usiku wa Desemba 31/2022.
Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema kijana huyu amefariki kwa kunywa pombe huku baadhi ya wananchi wakivitaka vyombo vya usalama kuongeza uchunguzi zaidi
Chanzo: EATV
Kamwe siwezi kuheshimu upumbavu...huyo kijana kaingiaje kwenye sandarusi?...Aliyezungumza ni ACP ngoja tuheshimu mamlaka