Pre GE2025 Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Pre GE2025 Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM BANNER OFFICIAL _20250113_111934_0000.png
 
Wakala wenu nani? Maana msije mkaanza kulia lia BOX likishafunguliwa na kura zenu zikawa hazifiki hata robo.
 
Maoni: inaweza ikawa huu ni mchezo mwingine wa kisiasa… Labda Mbowe alikuabaliana na wale jamaa awe mwenyekiti na agombee Urais na akavuta chake sasa atakengeuka vipi … “ Lissu jifanye unautaka uwenyekiti alafu ushinde , tuuwe ndege wawili jiwe MOJA”
 
Back
Top Bottom