Pre GE2025 Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Pre GE2025 Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maoni: inaweza ikawa huu ni mchezo mwingine wa kisiasa… Labda Mbowe alikuabaliana na wale jamaa awe mwenyekiti na agombee Urais na akavuta chake sasa atakengeuka vipi … “ Lissu jifanye unautaka uwenyekiti alafu ushinde , tuuwe ndege wawili jiwe MOJA”
Yote yanawezekana
 
Kwamba uchaguzi huu wajumbe wanapiga kura kwa mafungu au kila mjumbe anapiga kura tena kwa Usiri ? Nadhani hizi mambo za hivi ndio mwisho wa siku huwa zinaleta taharuki kwamba niliibiwa....; Au mfumo ni college votes kama USA ?
 
Ni wazi Muda na Nyakati hizi zimemkataa Mbowe. I don't know why yeye bado analazimisha.
 
Back
Top Bottom