Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Inatupa heshima kwa wananchiCHADEMA mko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatupa heshima kwa wananchiCHADEMA mko vizuri
Na namba hazidanganyi
Yote yanawezekanaMaoni: inaweza ikawa huu ni mchezo mwingine wa kisiasa… Labda Mbowe alikuabaliana na wale jamaa awe mwenyekiti na agombee Urais na akavuta chake sasa atakengeuka vipi … “ Lissu jifanye unautaka uwenyekiti alafu ushinde , tuuwe ndege wawili jiwe MOJA”
SahihiHongera sana Mhe Mkt na Katibu wa Mkoa wa SIMIYU kwa uimara wenu huu.
View: https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm
Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani,
Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman Mbowe baada ya wajumbe 75% kutoka Mikoa mbalimbali kutangaza kumuunga mkono Tundu Lissu,
Ni kama kuna mtu amesema wasiojulikana nao watapiga kura ili kumuinua MwenyekitiWote hawa ni wapya, kazi ni ngumu sana kwa Freeman Mbowe
View: https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm
Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani,
Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman Mbowe baada ya wajumbe 75% kutoka Mikoa mbalimbali kutangaza kumuunga mkono Tundu Lissu,