Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Wote hawa ni wapya, kazi ni ngumu sana kwa Freeman MboweNi wajumbe wapya au wa zamani maana nasikia baada ya Mwenyekiti kuyumba ilibidi wabadili qualifications za wapiga kura
Yuko na LissuSasa itakuwaje kwa Erythrocyte anayemuunga mkono Mhe. Mbowe?.
isije ikawa ni zuga, mabadiliko ya chadema mpya ni muhimu
View: https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm
Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani,
Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman Mbowe baada ya wajumbe 75% kutoka Mikoa mbalimbali kutangaza kumuunga mkono Tundu Lissu,
Huyo ni mfuasi mtiifu wa Mhe. Mbowe.Yuko na Lissu
Anakwenda kufedheheka.Cde Mbowe naona mambo magumu kwake
CHADEMA mko vizuri
View: https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm
Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani,
Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman Mbowe baada ya wajumbe 75% kutoka Mikoa mbalimbali kutangaza kumuunga mkono Tundu Lissu,
Kabisa.CHADEMA mko vizuri
Huko Ruvuma nako pia wako waje 26 sawa na 80 wametangaza rasmi
View: https://youtu.be/cI7hJHpYUOA?si=QZSStKHprjHvB6Rm
Leo SIMIYU imeungana na mikioa mingine 17 katika kutoa tamko la kumuunga mkono Mhe Lissu hadharani,
Hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wa Freeman Mbowe baada ya wajumbe 75% kutoka Mikoa mbalimbali kutangaza kumuunga mkono Tundu Lissu,