Maoni: inaweza ikawa huu ni mchezo mwingine wa kisiasa… Labda Mbowe alikuabaliana na wale jamaa awe mwenyekiti na agombee Urais na akavuta chake sasa atakengeuka vipi … “ Lissu jifanye unautaka uwenyekiti alafu ushinde , tuuwe ndege wawili jiwe MOJA”