Simiyu: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

Sasa kama macho huna hilo haliwezi kuwa kosa letu
 
siasa ni sayansi ndrugu zango πŸ’

dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine πŸ’

it can't be and it is useless....

uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe πŸ’
Hapana Mimi napingana na wewe.
 
Wewe unaakili ya UMALAYA wakisiasa!!Nina uhakika hata hata degree uliyonayo huna akili yakuitumia maana unaweza unafiki wa CCM .
We si umefunzwa na kufuzu vizuri mihemko na kuporomosha matusi kwa mpangilio tu, kuna kitu ingine unajua kweli wewe? acha uvivu Mwana parokia, na kipaimara si umepata kabisa
 
Naona umeamua kujaza server za JF bure tu..

Hakuna unacho - argue hapa..

Ni kwamba, umeamua kuweka michoro ya maandishi tu isiyo na substance ya hoja zozote..

Pole sana, kwa heri, inatosha..
 
Naona umeamua kujaza server za JF bure tu..

Hakuna unacho - argue hapa..

Ni kwamba, umeamua kuweka michoro ya maandishi tu isiyo na substance ya hoja zozote..

Pole sana, kwa heri, inatosha..
kwahiyo hapa umeargue 🀣🀣🀣
 
Ni hasara sana kujibizana na mtu anayenufaika na mfumo huu was uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…