Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Bariadi moto umewaka , Asanteni sana wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
facial expressions and body language of peoples power on the rally tells every things....Bariadi moto umewaka , Asanteni sana wananchiView attachment 2972968View attachment 2972969View attachment 2972973View attachment 2972974

Sasa kama macho huna hilo haliwezi kuwa kosa letufacial expressions and body language of peoples power on the rally tells every things....
inatia huruma sana, sidhani kama wanamsikiliza huyo kiongozi wao wa kitaifa......
chairmani hakukikosea kuwaambia wana chadema wamekua laini zaidi ya maini, and these on photoz is the open truth![]()
this is science gentlemanSasa kama macho huna hilo haliwezi kuwa kosa letu

Hapana Mimi napingana na wewe.siasa ni sayansi ndrugu zango 🐒
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine 🐒
it can't be and it is useless....
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe 🐒
ni sawaHapana Mimi napingana na wewe.

Nyie mnapata hsara yoyote???Genge la chadema liko hoi
Wewe unaakili ya UMALAYA wakisiasa!!Nina uhakika hata hata degree uliyonayo huna akili yakuitumia maana unaweza unafiki wa CCM .unakumbuka niligombea ubunge nikiwa na bei gani vile
mie nadhani kuishi bila malalamiko ya ugumu wa maisha inawezekana kabisa.....![]()
We si umefunzwa na kufuzu vizuri mihemko na kuporomosha matusi kwa mpangilio tu, kuna kitu ingine unajua kweli wewe? acha uvivu Mwana parokia, na kipaimara si umepata kabisaWewe unaakili ya UMALAYA wakisiasa!!Nina uhakika hata hata degree uliyonayo huna akili yakuitumia maana unaweza unafiki wa CCM .

Hamna hasara,andamaneni tuu na tunaomba mvua iwanyeshee mpate vipicha vya kuwarushia mabwana zenu wawape hela za kuvuruga nchi...Nyie mnapata hsara yoyote???
Sasa unalia lia nini?Hasara ya
Hamna hasara,andamaneni tuu na tunaomba mvua iwanyeshee mpate vipicha vya kuwarushia mabwana zenu wawape hela za kuvuruga nchi...
Naona umeamua kujaza server za JF bure tu..tangu lini mvivu akaeleweka kama sio ubishi na mihemko ya kukata tamaa na kulazimisha wenye bidii wawe wavivu kama yeye 🐒
Nasisitiza tena kwamba,
jukumu la kupambana na ugumu wa maisha ni lako mwenyewe binafsi, upende usipende 🐒
ujinga wa mtu unakoma pale tu anapotambua na kuelewa kwamba hapa naingizwa chaka. Mathalani, maandamano yamepuuzwa na watu wenye uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya nani mwenye jukumu hasa la kupambana na ugumu wa maisha 🐒
wajinga na wavivu wachache, singependa kukuita wewe mjinga kwasabb umezengumza mfano moja wa kibiblia na kwa hivyo inawezekana wew umetekwa na kufungwa na nguvu za giza kwenye ufahamu ndio maana upo kwenye maandamano yasio na tija 🐒
hiyo,
nitakuombea tu Baraka na Neema za Mungu na itakwishwa na utarudi kwenye normal sense zako 🐒
vinginevyo wengi wametekwa kwasabb ya uvivu, ujinga na tamaa zao kutamani maisha mepesi bila kufanya kazi kwa bidii....
and that is wrong 🐒
Mkuu mbona tuliambiwa chadema imeshakufa?Bariadi moto umewaka , Asanteni sana wananchiView attachment 2972968View attachment 2972969View attachment 2972973View attachment 2972974
kwahiyo hapa umeargue 🤣🤣🤣Naona umeamua kujaza server za JF bure tu..
Hakuna unacho - argue hapa..
Ni kwamba, umeamua kuweka michoro ya maandishi tu isiyo na substance ya hoja zozote..
Pole sana, kwa heri, inatosha..
Ni hasara sana kujibizana na mtu anayenufaika na mfumo huu was uongoziNdiyo maana ktk nchi iko inayoitwa "serikali". Kazi ya serikali kuiwezesha hii sayansi itende kazi kwa manufaa ya wananchi
Serikali ikishindwa kuifanya hiyo uliyoita "sayansi" hapo☝🏻☝🏻 juu kutengeneza mazingira bora ya watu kufanya kazi zao kwa manufaa yao:
Mathalani ni kufanya kazi kwa bidii ili watu wanufaike na bidii yao ya kazi ni na kufanya maisha yaende kwa urahisi inategemea na haya yanayopaswa kufanywa na serikali;
√ Uwezo wa nishati ya umeme wa uhakika na wa bei rahisi
√ Uwepo wa miundombinu bora ya usafiri na usafirishaji
√ Uwepo wa sera bora za kilimo na bei za mazao ya kilimo kwa wakulima..
√ Uwepo wa mazingira salama na rafiki ya kibishara..
√ Uwepo wa huduma bora za kijamii mf. afya, elimu, kisheria nk nk
√ Uwepo wa sera nzuri na rafiki za kodi
√ Uwepo wa mifumo imara na madhubuti kudhibiti rushwa na ufisadi serikalini.
√ Uwepo wa mfumo thabiti wa kisheria na utoaji haki nk nk
Sasa niambie jukumu la hayo yote ni la nani? Sio la serikali? Vipi inapokuwa imeonekana iwaziwazi kuwa imeshindwa kutekeleza wajibu wake?
JIBU NI: wananchi kuiwajibisha serikali hiyo kwa namna njia zozote halali..!!
Ndo kusema kuwa, kufanya kazi kwa bidii bila ubora wa mazingira hayo hapo juu ni kazi bure ndugu Tlaatlaah
Na kwa hili, binafsi nakuona wewe kama mtu mjinga fulani hivi usiyejua jukumu kuu la serikali yoyote ile. Maana ungekuwa unajua usingeandika ulichokiandika hapa..!
Na sikiliza bwana.
Kufanya kazi kwa bidii haimsadii mtu kama anachopata kinaishia kwenye mifuko iliyotoboka kwa kutobolewa na mifumo ya rushwa na ufisadi wa viongozi wa serikali, kodi na tozo onevu kwenye huduma (simu, fedha, umeme, usafiri nk) na bidhaa (petrol nk) kiasi cha kila tunachopata kwa kufanya kwetu kazi kwa bidii kuchukuliwa na serikali ya kifisadi na kutumiwa na wao pekee yao kifisadi..
Hapo ndipo ulipo ugomvi wa wananchi na serikali yao. Hatuitaki serikali iliyojiweka yenyewe madarakani...
Tunataka iwajibike kwa aidha kukaa chini na kubadilika au iondoke ili kuruhusu ije serikali nyingi sikivu na inayowajibika kwa wananchi..
Kiini cha ugomvi upo hapa. 👇🏻👇🏻
Kwamba, tunaandamana mioyoni na waziwazi ili serikali itimize wajibu wake na kama hii iliyopo imeshindwa, basi iondoke ilI kupisha serikali nyingine. Hili haliwezi kusubiri au kwenda kwa utaratibu wa kawaida.
Ni kwa kutumia shinikizo la umma (public pressure) ili kulazimisha mambo kutokea..
It can't be useful to a manipulative and ignorant person like you..!
Mjinga wewe.
Hujui usemalo wala ujualo because of your wickedness ..
Na kwa sababu labda wewe unakula vya kifisadi na wizi halafu unabwatuka hapa kuita wenzio "wavivu"
Shame on you..