Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,

Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.

Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.

Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%

Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.

IMG-20220710-WA0046.jpg

#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
 
Ukweli ni kwamba kama Simiyu ni mkoa potential sana na wanaweza kufanya zaidi ya hapo,Bwana David naona amemwelewa Mama kitu anataka, Tanzania inataka maendeleo tu
Uko sahihi, Rais Samia anafungua karibu kila mkoa kifursa
 
Ukweli ni kwamba kama Simiyu ni mkoa potential sana na wanaweza kufanya zaidi ya hapo,Bwana David naona amemwelewa Mama kitu anataka, Tanzania inataka maendeleo tu
Mifumo haijengwi kwa miezi 9. Credit apewe mtangulizi wake kwa kuweka ground work vizuri na Kafulila kuindeleza vema
 
Wivu sasa huu 😂😂😂
Wivu wa nini mkuu. We angalia kisarawe unachoona kinafanyika sasa kiliwekewa mizizi na mwingine.

Mbona hakufanya hivyo alipokuwa Songwe, maana yake alitengeneza mfumo anaishia njiani na uondoka aliyrkuja hakuendeleza( if at all Kafulila is competent)
 
Wivu wa nini mkuu. We angalia kisarawe unachoona kinafanyika sasa kiliwekewa mizizi na mwingine.

Mbona hakufanya hivyo alipokuwa Songwe, maana yake alitengeneza mfumo anaishia njiani na uondoka aliyrkuja hakuendeleza( if at all Kafulila is competent)
Tatizo humu hatufamiana wewe ndio Mtaka au sijaelewa 😁
 
Kama hakukuwa na under estimation ya makadirio ya mapato basi wamefanya kazi nzuri saana,
 
Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
 
Back
Top Bottom