kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Tunda la chadema hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NCCR KafulilaTunda la chadema hilo
😍😍😍NCCR Kafulila
Sukuma gang naona mmechurupuka kwenye maficho yenuUkweli ni kwamba kama Simiyu ni mkoa potential sana na wanaweza kufanya zaidi ya hapo,Bwana David naona amemwelewa Mama kitu anataka, Tanzania inataka maendeleo tu
Lkn bado baadhi ya sukuma gang hawataki kukubali huo ukweliUko sahihi, Rais Samia anafungua karibu kila mkoa kifursa
watakubali tu ni swala la mudaLkn bado baadhi ya sukuma gang hawataki kukubali huo ukweli
Sana aiseWako vizuri
Great,Sana aise
Watakubali tuLkn bado baadhi ya sukuma gang hawataki kukubali huo ukweli
Acha uchonganisha hata waa ni wana CCMSukuma gang naona mmechurupuka kwenye maficho yenu
Safi sana sio nyie tuu Mikoa kadhaa imefanya hivyo ikiwemo Mbeya..Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,
Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.
Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.
Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%
Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.
View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Mfumo gani huo? .Mifumo haijengwi kwa miezi 9. Credit apewe mtangulizi wake kwa kuweka ground work vizuri na Kafulila kuindeleza vema
Miaka iliyolita kwa nini hiyo bajeti ndogo waliyojiwekea hawakuifikisha?Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
Pesa zilikuwa zinaliwa na waambata wa Mwendazake na pia biashara zilikufa nyingi kipindi hicho ila sasa zimefufuliwa....hata mimi nashangaa ni kitu gani kimesababisha MLIPUKO/MFUMUKO wa ukusanyaji mapato mkoani Simiyu.
..Je, kuna CHANZO KIPYA cha mapato ambacho hakikuwepo miaka iliyopita na kimeanza kuchangia mwaka huu?
..Je, kuna MFUMO MPYA wa kukusanya mapato ambao umeanza kutumika mwaka huu na umeziba matundu ya miaka iliyopita?
Je, kuna ongezeko la MAVUNO au mapato ya wananchi kwa kiwango kisicho cha kawaida kulinganisha na miaka iliyopita?
..Ukusanyaji wa mapato ni jambo jema, lakini ni vema zaidi tukajua ongezeko hilo linatokana na nini. Tukiweza kufanya hivyo tutakuwa ktk nafasi nzuri ya kuendelea kukusanya mapato hayo, au hata hata kuongeza makusanyo.
Ni hivi , Sukuma gang wa Chato wanatakiwa kuelewa kwamba kila sekta Mama kaupiga mwingi..
Wasipotaka kukubali watajijua ila namba wataendelea kusomeshwa.Lkn bado baadhi ya sukuma gang hawataki kukubali huo ukweli
Nilitaka nikuite jina fulani nikaamua kukusamehe. Kwa hiyo mtu akikupa chabgamoto anakuwa mwizi, mjinga kama wewe au?Mfumo gani huo? .
😆😆 Majizi wakubwa nyie na wajinga mlioua biashara.
Hakuna changamoto uliyotoa hapo zaidi ya kijiba cha roho..Nilitaka nikuite jina fulani nikaamua kukusamehe. Kwa hiyo mtu akikupa chabgamoto anakuwa mwizi, mjinga kama wewe au?