Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
Sawa ni ndogo,

Swali,mbona hao wengine walishindwa
 
simuyu mlipuko wa madini yadhahabu utaibeba sana kama usimamizi utakua bora na imara......

kwa sasa wawekezaji wengi kutoka shinyanga na Geita wanakimbilia huko.... ni swala la muda tutaanza kuiona Geita ikishuka sana kimapato na simiyu ikipanda.
 
Huu utapeli mnayofanyiwa wa TZ na mama yenu SSH,huyo mama angekuwa anajituma kutembelea wilaya nchini angetonywa ukweli kuwa hao Simiyu na Tamisemi hayo mapato ni waongo wameingiza fedha za uviko kama mapato ya ndani kwa kuzihesabia Toka kwenye kata zilikopokelewa kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya shule na afya hii ni kashfa inampa jeuri bashungwa aombe kununua magari ya ma DC ni usanii mtupu
 
simuyu mlipuko wa madini yadhahabu utaibeba sana kama usimamizi utakua bora na imara......

kwa sasa wawekezaji wengi kutoka shinyanga na Geita wanakimbilia huko.... ni swala la muda tutaanza kuiona Geita ikishuka sana kimapato na simiyu ikipanda.
Sawa sawa
 
Huu utapeli mnayofanyiwa wa TZ na mama yenu SSH,huyo mama angekuwa anajituma kutembelea wilaya nchini angetonywa ukweli kuwa hao Simiyu na Tamisemi hayo mapato ni waongo wameingiza fedha za uviko kama mapato ya ndani kwa kuzihesabia Toka kwenye kata zilikopokelewa kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya shule na afya hii ni kashfa inampa jeuri bashungwa aombe kununua magari ya ma DC ni usanii mtupu
Daaah, nchi ngumu sana hii
 
Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,

Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.

Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.

Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%

Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.

View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Kazi na iendelee, Tuko salama sana na Rais Samia
 
Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,

Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.

Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.

Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%

Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.

View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Safi Sana hii
 
Back
Top Bottom